Dar es Salaam City in Photos

NDINDA

Platinum Member
Apr 4, 2011
10,333
47,088
 

Attachments

  • 4493676979_f15f9d7918_z.jpg
    54.2 KB · Views: 14,680
Ni kweli pia ni kati ya majiji unplanned,nashauri ingefaa wangeunganisha Bagamoyo,kibaha na sehemu ya morogoro na sehemu ya tanga then utengenezwe satellite city(jiji la kisasa ambalo ni planned),halafu zihamishwe wizara zote zihamishiwe huko kwani ni dhahiri KUHAMIA DODOMA nadhani imekuwa ngumu.
NB; mfano mzuri Nigeria walihamisha mji mkuu toka LAGOS hadi ABUJA.
 


Siyo ngumu,nia ya watawala ni kutaka kukaa ikulu ya Magogoni,wakizungukwa na wizara.
 
mi nashauri tupate utawala mpya ili tuwape meno wenye akili watupangie jiji letu...akina magufuli wamejaribu wakaambiwa "kaa chini"
 

angalia hiyo majengo mengi yanazidi kujengwa, vipo huko chini, barabara na sewage system, pia mradi wa mabasi yaendayo kasi unaendeleaje kwa aliye na data, asante
 

hii ya zamani sana, yaani hata mafuta house ilikua bado haijakamilika, sasa kuna EXIM TOWER NA EXPRESS HOTEL bado haijakamilika pia kuna HOLIDAY INN, mbele ya mafuta kuna NMB house, ELITE TOWER ambayo itakamilika muda si mrefu pia,
angalia hilo eneo sasa hivi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…