Dar es Salaam City in Photos

NDINDA

Platinum Member
Apr 4, 2011
10,296
46,886
 

Attachments

  • 4493676979_f15f9d7918_z.jpg
    4493676979_f15f9d7918_z.jpg
    54.2 KB · Views: 14,675
Ni kweli pia ni kati ya majiji unplanned,nashauri ingefaa wangeunganisha Bagamoyo,kibaha na sehemu ya morogoro na sehemu ya tanga then utengenezwe satellite city(jiji la kisasa ambalo ni planned),halafu zihamishwe wizara zote zihamishiwe huko kwani ni dhahiri KUHAMIA DODOMA nadhani imekuwa ngumu.
NB; mfano mzuri Nigeria walihamisha mji mkuu toka LAGOS hadi ABUJA.
 
Ni kweli pia ni kati ya majiji unplanned,nashauri ingefaa wangeunganisha Bagamoyo,kibaha na sehemu ya morogoro na sehemu ya tanga then utengenezwe satellite city(jiji la kisasa ambalo ni planned),halafu zihamishwe wizara zote zihamishiwe huko kwani ni dhahiri KUHAMIA DODOMA nadhani imekuwa ngumu.
NB; mfano mzuri Nigeria walihamisha mji mkuu toka LAGOS hadi ABUJA.


Siyo ngumu,nia ya watawala ni kutaka kukaa ikulu ya Magogoni,wakizungukwa na wizara.
 
mi nashauri tupate utawala mpya ili tuwape meno wenye akili watupangie jiji letu...akina magufuli wamejaribu wakaambiwa "kaa chini"
 

hii ya zamani sana, yaani hata mafuta house ilikua bado haijakamilika, sasa kuna EXIM TOWER NA EXPRESS HOTEL bado haijakamilika pia kuna HOLIDAY INN, mbele ya mafuta kuna NMB house, ELITE TOWER ambayo itakamilika muda si mrefu pia,
angalia hilo eneo sasa hivi
4-St-Albans-Cathedral-Dar-Es-Salaam.jpg
 
69 Reactions
Reply
Back
Top Bottom