road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Hahaaahaaa Mungu fundiUsiongee Kwa sauti inawezekana TISS waliliona wakafanya Yao.
Hahaaahaaa Mungu fundiUsiongee Kwa sauti inawezekana TISS waliliona wakafanya Yao.
Zamani kupata fromu Kariakoo ilikuwa mtihani... leo hii eti siyo ISHU kubwa kisa watu wamefunga biashara... Samira Avenue Dar, eti like jengo opposite na Jengo la NHC next to extelecom house eti kuna vyumba vipo wazi..!!! Samora hii hii..!!Dar es Salaam inachakaa kwa kasi ya ajabu. Mtaa wa Samora, moja ya mitaa ya jiji iliyokuwa kitovu cha biashara ya bidhaa halisi kwa sasa inatia huruma. Biashara ni kama hakuna na zilizobaki hazina wateja. Ule ukijani na marashi ya Mtaa wa Samora sasa ni historia.
Mabenki kama NBC ukienda pale Corporate Branch unakuta wateja kwa idadi ya single digit na tellers wawili tu ndo wako on duty. Dar es Salaam inakufa kwa kasi.
Nenda Mlimani City kuna fremu nyingi tu ziko wazi.
Pita eneo la viwanda Nyerere Road vitega uchumi vya Quality Group sasa hivi ni uwekezaji wa popo na jamii zingine za ndege wa usiku.
Kama nchi nadhani kuna shida mahala.
Rais ajae ana mtihani.
Kwamba unaweza kushawishi watu wa Congo DR, Malawi, Zambia, Burundi waende Dodoma wakafunge mzigo?Dodoma ndiyo habari ya mjini
Nenda dodoma
Mimi nipo rukwa
Dodoma ni mji wa biashara?Hivi Kenya na Tzn nani ana rasilimali nyingi? Ukipata jibu jiulize kwa nini Kenya inaizidi Tzn maendeleo,ukipata jibu ndio hilo hilo linafanya mikoa yenye rasilimali nyingi kuzidiwa na Dom
Afu lengo la serikali sio kuifanya Dodoma iizidi Dar bali ni kufungua fursa nyingine ya biashara
Hata hivyo Dodoma ni Mji wa biashara given her geographical proximity ya kuwa katikati ya Miji mikuu
Nilikuwa na Dilham,Benki zote hole,mpaka kibanda cha posta ndo nikapona,wamachinga wa posta wote wamenuna,lazima tumemkosea mungu kwa kuingia uchumi wakati wakati pato la familia ni chini ya 1080Nilienda Acb main branch hakuna foleni nilishangaa sana..
Tellers wanachati tu
Dodoma yenyewe ukifika CBE uko Mjini ukifika mwisho wa Airport kuelekea singida umemaliza mji,tunapigwa hakuna fact katika vitabu vya takwimuDodoma ni mji wa biashara?
Mmmh, sina uhakika. Ni baishara za kawaida tu za vyakula na labda vifaa vya Ujenzi kwa kuwa makazi ya kuishi yanajengwa kwa wingi kwa sasa,lakini siyo biashara kubwa kwa muktadha wa biashara
Hatimae yametimia na hali bado ni teteJamani tatizo syo Dar peke yake. Njoo hapa Arusha panatisha. Juzi nilikuwa Bagamoyo Pwani, kisha nikaenda Morogoro hali ni tete mno.
Huyu mponya korona anaharibu biashara na uchumi wa nchi.
Serikali ilivyoondoa annual leave allowance,seminars na incentive Hapo wamefuta mrija wa oxygen katika mwiliWafanyabiashara wapo kwenye state ya Hibernation, wakisuburi mi-five again ipite. Ingawa kuna ka upepo ka ushirikina ka kiufanya hii mi-five again iwe again.