Dar: Atoboa bomba la mafuta ya Dizeli la bandari(SPM) na kujiunganishia nyumbani kwake

Walinzi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na Jeshi la Polisi hivi hawa kazi yao kukamata au kulinda ? ,KAMA NINGEKUWA PRESIDAA NINGEANZA NA HAWA , WANALINDA NINI SASA MPAKA TANK LINATOBOLEWA ,KIASI CHA MAFUTA YANAYOINGIA KWENYE TANK NA KUTOKA WAHAJUI :eek::eek::eek::eek:
 
Kama jamaa ameweza kujiunganishia dizeli kwa muda bila vyombo vya ulinzi kushtuka ni hatari kwa usalama wetu na miundombinu ya taifa. Mbinu mpya za ulinzi na usalama zinahitajika ili mtu kama huyo akijaribu tu akamatwe kabla kutekelezwa.
 
Dah! Hata woga hana! atafia jela huyu.
Hii ni syndicate!!! Haiwezekani MTU mmoja kuweza kufanya kazi kama hiyo na kuikamilisha bila kuonekana!!! Hii kazi itakuwa imafanywa mchana kweupe na watumishi ambao mwisho Wa siku walilipwa na serikali maana walikuwa kazini!! Hii si kazi ya siku moja!! Huu ni mchezo Wa wakubwa!!! Mdogo huwezi kufanya kitu kama hicho!! Si ajabu walifanya kazi hiyo huku wakipewa ulinzi!!!
Hapo ndipo ninapompendea JPM!!! Hapepesi macho!!! Hivi hawa TPA ninawashangaa!!!! Utaibiwaje Kwa kiasi kikubwa kama hicho Kwa muda mrefu na usijue mpaka ipatikane awamu ya "hapa kazi tu" ndo ujifanye kushtuka? Je kuna wakati wowote TPA waliwahi kulalamika kuwa kuna wizi mkubwa Wa mafuta? Hapa mwizi ni TPA wenyewe na huyu aliyekamatwa ni mtuhumiwa namba 2!! Kuna mtandao mkubwa hapa!! Hii ni hujuma ya kufa MTU!!!
 
isije kuwa nichai hii ""
kama kuna ukweli basii huyo jamaa ni GT
atakuwa ni member wa Jf tu Huyo ..
 
Back
Top Bottom