petrinamwana
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 901
- 345
Uzuri wa mwizi akinogewa huwa haachi hata alivyojaza mafuta kwenye mataki hahaha akaona aweke kabisa kama maji bombani
NENDA NIGERIA WANATOBOA NA WANALINDA KWA MTUTU SOGELEA UONE
Dah.. Hii akili huenda ikawa ni zaidi ya ile ya Dk Shika
Wakandarasi walikuwa wanatengeneza barabara, sasa katika kuchimba na kijiko ndipo walipotoboa Bomba za Mzee na zikaanza kumwaga dizeli ndipo walipofatilia wakaona Bomba la 1.5" likielekea nyumbani kwa Mzee likitokea Bomba Kubwa.-Wakati anajiunganishia walinzi walikua wapi?
-Kwa namna yoyote zoezi zima si la siku moja, watendaji Wa mtaa walikua wapi?
-Kuna kila dalili za jamaa alikua anakula na wakubwa Fulani..malengo yalikua ni nini?
-Soko lake haswa ni lipi?
-Kwanini TPA ivamie January hii? mzee alizingua kutoa mgao m?
-Kama Huyo mmoja wamembaini baada ya muda mrefu (obvious) Wa kuiba wese..kuna wangapi Wa sampuli yake?
-Kwanini mkuu Wa ulinzi asiwajibishwe? why disciplinary action shouldn't be taken against him/her ?
-Wwnafanya patrol kwa kiasi gani kuhakikisha rasilimali hazihujumiwi?
Mkuu Wa idara ya ulinzi /Head of security unit hapa lazima awajibishwe! kuna dalili za kuhusika...huyu mzee alipata wapi guts za kufanya hayo??
Bomba tu LA dawasco ukitoboa mtaa mzima wanajua Fulani anaunganisha maji..sembuse mafuta? waache Sanaa makimba yao..
Mzee nae alichemka..angesoma alama mapema..angeingia Ccm agombee hata udiwani...angekingiwa kifua kama Salum Londa na ufisadi Wa viwanja Tanganyika Packers (Feza)!
Yanayosafirishwa kwa pipeline huwa ni ghafi.Tz yanakuja yaliyosafishwa, diesel,petrol,kerosene etc
Oooohh! isingekua wakabdarasi jamaa wasingestukia??Wakandarasi walikuwa wanatengeneza barabara, sasa katika kuchimba na kijiko ndipo walipotoboa Bomba za Mzee na zikaanza kumwaga dizeli ndipo walipofatilia wakaona Bomba la 1.5" likielekea nyumbani kwa Mzee likitokea Bomba Kubwa.
Japo kafanya jambo la hatari ila nimempenda.Vyuma, vyuma mkuu. Hupelekea kutumia akili ya ziada