Nchi gani hiyo? Unaweza tupa mfano wa muhalifu aliyepewa kitengo Cha juu kwenye hizo nchi au ni zile zile story za kudanganyana vijiweniKwa nchi zilizoendelea huyo hafungwi Ng’oo,!!!
Ndio kwanza watampa kitengo cha juu kwenye idara husika
Ndo hueleweki unauliza kitu gani cha msingi, kwani mabomba yakiwa mapya hayaunganishwi? Na wapi ndani wamesema kuna mabomba makubwa?Picha mbona hazieleweki, hayo mabomba mkubwa ni mapya na hayaonyeshi yalipotobolewa. Pia happy kwenye nyumba bomba kina takes ndani. Huko ndani ndio kuna hayo mabomba makubwa??
Kama ni kweli hauwezijua alijiunganishia lini.Vyuma vikizidi kutait Akili ya ziada lazma ije enyewe
Mkuu siku hizi hakuna mafuta ghafi Tanzania hatuna kiwanda cha refinery TIPPER ilikufa.Mafuta ghafi pekee ni yale ya kwenda Zambia.Kuhusu pressure uko sahihi sana ila huyu jamaa anaweza kuwa aliweza safety release valve kabla kuingia kwake ila hii nini huduma maana angekuwa anapunguza pressure bomba kuu.Ndio napata mashaka na habari hii maana mafuta yaliyo kwenye Bomba ni ghafi anapata wapi dawa ya kuyasafisha ... Pia kutoka kwenye Bomba la mafuta kuna Presha kubwa mno kwa hicho kitengi ni uwongo kabisaaa tena wa mchana kweupe pia huwa yanaharufu mbaya sana kwa kijumba hicho Doh. Na kama ni kweli basi huyo jamaa wamwajiri TPA ili awezekutoa elimu ya kuyapooza na kuyasafisha
Nchi gani hiyo? Unaweza tupa mfano wa muhalifu aliyepewa kitengo Cha juu kwenye hizo nchi au ni zile zile story za kudanganyana vijiweni
Kwa hiyo ameunga kwenye mabomba yanayolazwa upya a yaliyokuwa yanatumika? , nyumbu wewe!!Ndo hueleweki unauliza kitu gani cha msingi, kwani mabomba yakiwa mapya hayaunganishwi? Na wapi ndani wamesema kuna mabomba makubwa?
Kwa kweli hata wewe ulichoandika hakielewekiPicha mbona hazieleweki, hayo mabomba mkubwa ni mapya na hayaonyeshi yalipotobolewa. Pia happy kwenye nyumba bomba kina takes ndani. Huko ndani ndio kuna hayo mabomba makubwa??
siyo ghafi. ni diesel.Ndio napata mashaka na habari hii maana mafuta yaliyo kwenye Bomba ni ghafi anapata wapi dawa ya kuyasafisha ... Pia kutoka kwenye Bomba la mafuta kuna Presha kubwa mno kwa hicho kitengi ni uwongo kabisaaa tena wa mchana kweupe pia huwa yanaharufu mbaya sana kwa kijumba hicho Doh. Na kama ni kweli basi huyo jamaa wamwajiri TPA ili awezekutoa elimu ya kuyapooza na kuyasafisha
Ghafi?....tunaagiza nje mafuta ghafi?Ndio napata mashaka na habari hii maana mafuta yaliyo kwenye Bomba ni ghafi anapata wapi dawa ya kuyasafisha ... Pia kutoka kwenye Bomba la mafuta kuna Presha kubwa mno kwa hicho kitengi ni uwongo kabisaaa tena wa mchana kweupe pia huwa yanaharufu mbaya sana kwa kijumba hicho Doh. Na kama ni kweli basi huyo jamaa wamwajiri TPA ili awezekutoa elimu ya kuyapooza na kuyasafisha
Typical story za vijiweni. Story za hear say, story zisizo na chembe ya ukweli wala uthibitisho mahala popote pale. Huyo dogo anaitwa nani? Alishikwa lini? Alihack nini? Story za vijiweni ubaya ndo huu huwa zinakuacha mtu hanging, ni story za kudanganyana kupoteza muda tu.Kuna kijana mwenye umri mdogo tu alikua aki HACK data na siri za PENTAGON kwa njia ya computer
Iliwagharimu saaana hio CIA na iliwachukua muda kujua nani anaevujisha siri za WHITE HOUSE
siku wanamkamata hawakuamini kumkuta huyo kijana na umri pia ni mmarekani na famili yake hali yao ilikua taaban
Walimchkua saaaana maelezo na kugundua huyu kijana hakua na nia mbaya usipokua TALENT alionayo tu na kucheza saaana na computer ndio iliofanya HACKING hizo
Aliwaonesha njia zoote alizotumia kutengua PRIVACY za pentagon
George bush wakti huo ndio alikua president aliamuru kuchkuliwa huyo kijana aendelezwe na masomo na kufanya kazi hapohapo pentagon
Mkuu hadi leo wazee wake wanakula bata tu
From Zero To Hero