Dar: Ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua mpenzi wake aliyegoma kubadili dini

Dar: Ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua mpenzi wake aliyegoma kubadili dini

Fahari ya kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
427
Reaction score
1,668
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Abel Stephano baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mkewe Nuru Karim, kwa kumnyonga na kamba ya viatu.

Licha ya Abel kukana mahakamani kutenda kosa hilo, alikiri kuwa yeye na mkewe (marehemu) walikuwa na ugomvi mdogo katika ndoa yake kwani alitaka mkewe abadilishe dini na kuwa Mkristo lakini mkewe hakukubali.

Upande wa mashitaka ulieleza Mahakama kuwa tukio hilo lilitokea Julai 24, 2023 wakiwa nyumbani kwao eneo la Kitunda Mzinga ambapo wakiwa chumbani ugomvi baina yao ulitokea (Nuru) akitaka kwenda kwao.

Ilielezwa kuwa Abel alikutwa chumbani kwao huku mkewe marehemu akiwa amefariki dunia akiwa amelala kitandani na chini ya kitanda hicho kulikuwa na kamba ya kiatu iliyoelezwa kutumika kumnyongea hadi kufa.

Kwa mujibu wa upande wa mashitaka, mshtakiwa alifanya hivyo ikiwa ni njia ya kumzuia marehemu asitoke nje ya nyumba hiyo na baada ya kutekeleza kitendo hicho alipiga kelele kuomba msaada, kwani hakuwa na funguo za mndani, tukio liliripotiwa kwa mwenyekiti wa mtaa huo ambaye pia alitoa taarifa polisi na Abel kupelekwa Kituo cha Polisi cha Stakishari
 
Nilishawaambia na nitazidi kuwaambia kuwa usimp hauna faida yoyote kwa mwanaume zaidi ya kumpa maumivu makali sana ya kihisia / ya kimoyo na hatimae kumsababishia umauti.

Sijawahi kuona au kukutana na simp anaeshinda mwisho wa story, ma'simp wote hushindwa vibaya na kuumizwa sana kihisia ikifuatiwa na umauti.

Kuwa Simp hakuna faida yoyote kwako kama mwanaume,hata mwanamke anajua hilo why wewe haujui mtoto wa kiume?🤔

Ona sasa huyo simp tayari ameshapata maumivu yaliyompa hasira kali ya kufanya mauwaji na sasa mnaona kahukumiwa kifo. (Zemanda's SIMP LAW STRIKES AGAIN ⚡ 🏆😎). Kama angelijua mapema, angeheshimu ishara za awali ambazo zingemguide kama mwanaume kufanya maamuzi sahihi ya kimahusiano.

Si ajabu huyu mwanamke alishamuonyesha ishara nyingi za kuwa huko mbeleni kuna utata atamletea ila huyu kijana akaona option ni kuwa simp na kuendelea kuvunja kanuni za kiume na kuanza kucheza mchezo wa mwanamke na automatically akawa Simp kwa huyu mwanamke ambaye ni dhahiri hakuwa na mapenzi ya dhati kwake.

Angekuwa ametumia akili japo kidogo basi angetumia alama na ishara ya kwanza ya dosari ya kimahusiano ambayo mwanamke alimuonyesha kufanya maamuzi ya kuanza maisha yake ya kimahusiano upya pengine leo hii muda huu angekuwa anasoma sms ya mwanamke mwingine tofauti na huyu aliyemuua ambaye angempenda kwa dhati akimuuliza anaendeleaje na kazi na akirudi wafanye kitu gani au wale nini?

Ila kijana kwasababu ya kukosa elimu ya kiumeni akaamini kuwa mwanamke yupo m'moja tu Dunia nzima na asipopendwa nae ni bora kifo kuwatenganisha na sio kuishi bila yeye.

Sasa huyu kilaza simp kama mwenzake 👉🏿 MamaSamia2025 tayari anajifunza kwa gharama wakati elimu huwa natoa hapa free.

Pengine angesoma na kuelewa maandiko yangu ya kukemea usimp saa hii angekuwa pengine huru na maisha yake somewhere anaishi kwa utulivu. Ila alichagua usimp tazama sasa alipokomea.

So again, Zemanda says, "Vijana acheni kusimp, mwisho wa u'simp ni maumivu makali ya hisia na moyo na utamalizia na umauti". Hiyo lazima itokee na ni guarantee kutokea.

images (21).jpeg
 
Nilishawaambia na nitazidi kuwaambia kuwa usimp hauna faida yoyote kwa mwanaume zaidi ya kumpa maumivu makali sana ya kihisia / ya kimoyo na hatimae kumsababishia umauti.

Sijawahi kuona au kukutana na simp anaeshinda mwisho wa story,masip wote hushindwa vibaya na kuumizwa sana kihisia ikifuatiwa na umauti.

Kuwa Simp hakuna faida yoyote kwako kama mwanaume,hata mwanamke anajua hilo why wewe haujui mtoto wa kiume?🤔

Ona sasa huyo simp tayari ameshapata maumivu yaliyompa hasira kali ya kufanya mauwaji na sasa mnaona kahukumiwa kifo. (Zemanda's SIMP LAW APPLIES AND WINS 🏆😎). Kama angelijua mapema, angeheshimu ishara za awali ambazo zingemguide kama mwanaume kufanya maamuzi sahihi ya kimahusiano.

Si ajabu huyu mwanamke alishamuonyesha ishara nyingi za kuwa huko mbeleni kuna utata atamletea ila huyu kijana akaona option ni kuwa simp na kuendelea kuvunja kanuni za kiume na kuanza kucheza mchezo wa mwanamke na automatically akawa Simp kwa huyu mwanamke ambaye ni dhahiri hakuwa na mapenzi ya dhati kwake.

Angekuwa ametumia akili japo kidogo basi angetumia alama na ishara ya kwanza ya dosari ya kimahusiano ambayo mwanamke alimuonyesha kufanya maamuzi ya kuanza maisha yake ya kimahusiano upya pengine leo hii muda huu angekuwa anasoma sms ya mwanamke mwingine tofauti na huyu aliyemuua ambaye angempenda kwa dhati akimuuliza anaendeleaje na kazi na akirudi wafanye kitu gani au wale nini?

Ila kijana kwasababu ya kukosa elimu ya kiumeni akaamini kuwa mwanamke yupo m'moja tu Dunia nzima na asipopendwa nae ni bora kifo kuwatenganisha na sio kuishi bila yeye.

Sasa huyu kilaza simp kama mwenzake 👉🏿 MamaSamia2025 tayari anajifunza kwa gharama wakati elimu huwa natoa hapa free.

Pengine angesoma na kuelewa maandiko yangu ya kukemea usimp saa hii angekuwa pengine huru na maisha yake somewhere anaishi kwa utulivu. Ila alichagua usimp tazama sasa alipokomea.

So again, Zemanda says, "Vijana acheni kusimp, mwisho wa u'simp ni maumivu makali ya hisia na moyo na utamalizia na umauti". Hiyo lazima itokee na ni guarantee kutokea.

View attachment 3475644
We naye hebu tutolee upumbavu wako hapa, kwahiyo mwanamke kugoma kubadili dini ndio kumletea utata mwanaume, kwani hakuna mahusiano yanayodumu kati ya watu wenye dini tofauti we sijui una akili za aina gani aise
 
We naye hebu tutolee upumbavu wako hapa, kwahiyo mwanamke kugoma kubadili dini ndio kumletea utata mwanaume, kwani hakuna mahusiano yanayodumu kati ya watu wenye dini tofauti we sijui una akili za aina gani aise
😂😂😂 Hadi nimejimwagia kahawa hapa labubu mkubwa wewe.

Lakini Jadda mbona kagomvi? Me nimeongelea u'simp sijasema mwanamke ana makosa. Mwanamke amesimamia imani yake pengine ni malezi mazuri tokea kwa baba yake na kutii amri ya baba yake kuwa asiolewe nje ya imani yake.

Kijana kapindisha mifumo ili kuaccomodate mahitaji ya mwanamke hatimae ime backfire kwake.

Usimp sio dili.
 
Asante moderators kwa kutuondolea upuuzi wa kidini hapa maana watu walishaanza kujadili vitu ambavyo hata wao binafsi hawavielewi.
 
😂😂😂 Hadi nimejimwagia kahawa hapa labubu mkubwa wewe.

Lakini Jadda mbona kagomvi? Me nimeongelea u'simp sijasema mwanamke ana makosa. Mwanamke amesimamia imani yake pengine ni malezi mazuri tokea kwa baba yake na kutii amri ya baba yake kuwa asiolewe nje ya imani yake.

Kijana kapindisha mifumo ili kuaccomodate mahitaji ya mwanamke hatimae ime backfire kwake.

Usimp sio dili.
Wewe ni mwanamke feminist kwenye umbo la kiume. Hakuna mwanaume straight anayeweza kushambulia wanaume wenzake kwa hoja ya kipuuzi unayoita usimp.
 
Wewe ni mwanamke feminist kwenye umbo la kiume. Hakuna mwanaume straight anayeweza kushambulia wanaume wenzake kwa hoja ya kipuuzi unayoita usimp.
Sasa ndio uone kuwa ninajua ninachokisemea. Mimi nikiwa naandika hapa wewe unapuyanga hausomi tukikutana kwenye mijadala unataka ligi na mimi kumbe you even lack a basic knowledge ya kutambua what feminism is and what is it about. 😂

Anyways, kwenye huu uzi umeweza kujionea simp mwenzako yaliyomkuta. Mimi ninaposema vijana wasiwe masimp wewe huwa unasema niwaache wafanye maamuzi ya wanachojisikia kufanya kwasababu wanatumia pesa zao sio zangu.

Sasa nikuulize ,hiki kilichotokea hapa kimemfaidisha nini huyu kijana?🤔

Unapingana vipi na mimi kama hii habari ni mbaya? Labda kama kwako huu uzi umekufurahisha na umeona ni sawa kilichomkuta huyo binti wa watu ambaye katolewa uhai na mwanaume ambaye alishindwa kuratibu matendo na akili yake vema kwasababu kakosa misingi ya kiume mizuri kama wewe.

Na wewe ukiendelea na usimp ipo siku utanikumbuka kwasababu utatambua kuwa haukuwa unajua kitu kuhusu uanaume.

images (15).jpeg
 
😂😂😂 Hadi nimejimwagia kahawa hapa labubu mkubwa wewe.

Lakini Jadda mbona kagomvi? Me nimeongelea u'simp sijasema mwanamke ana makosa. Mwanamke amesimamia imani yake pengine ni malezi mazuri tokea kwa baba yake na kutii amri ya baba yake kuwa asiolewe nje ya imani yake.

Kijana kapindisha mifumo ili kuaccomodate mahitaji ya mwanamke hatimae ime backfire kwake.

Usimp sio dili.
Sasa huyo mwanaume angekuwa simp angemlazimisha mwenziwe abadili dini hivi unajua sifa za masimp lakini, na angefikia hatua ya kumuua kisa kagoma kubadili na kutaka aende kwao, hapa msiwasingizie masimp hizo ni tabia zenu misogynists mnaojiita ma alpha male
 
Ingekuwa huyo Mume ni Muislam aliyemlazimisha Mkewe Mkristo asilimu basi ungeona Makiristo humu wakifoka foka kama uji jikoni
Kwa sababu jambo kama hili ni nadra sana kufanywa na Wagalatia,
Hata hivyo hiyo story inasemwa alinyongwa baada ya kutaka kuondoka, kwa hiyo ugomvi ulianzia kwenye dini ukazua mambo mengine.
 
Sasa huyo mwanaume angekuwa simp angemlazimisha mwenziwe abadili dini hivi unajua sifa za masimp lakini, na angefikia hatua ya kumuua kisa kagoma kubadili na kutaka aende kwao, hapa msiwasingizie masimp hizo ni tabia zenu misogynists mnaojiita ma alpha male
Ndio maana natakiwa nikazane sana kutoa elimu ya usimp maana wengi hamuwafahamu vema masimp.

Kesi nyingi za mauwaji ya wanawake katika mahusiano utakutana na mwanaume ambaye aliona hawezi kutana wala kupata mwanamke mwingine nje ya huyo aliye nae.

Sifa mojawapo ya simp ni kufosi mahusiano kwa gharama yake ya hali na mali. Atakapokuja kuona gharama amelipia kubwa sana na mwanamke bado hamkubali ndipo anakuwa ameshapata knowledge kuwa usimp haulipi.

Maumivu ya kupata huo ufahamu sasa ndio aidha atajiua kwa hasira na huzuni, ataua mwanaume mwenzake ambaye anapendwa kushinda yeye,au atamuua huyo mwanamke sio kwasababu anamchukia au anachukia wanawake (misogyny) ila ni kwasababu hataki mwanaume mwingine apate nafasi ya kuwa na huyo mwanamke maana wivu utamuua.

Mtu misogynistic anaweza kuwa anapendwa na wanawake vizuri tu ila tu yeye hawapendi kwasababu anachukia uwepo wa jinsia ya kike katika maisha yake na anaiona kama tatizo ama changamoto katika shughuli zake.
 
Back
Top Bottom