meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.
Huyu RC si ndiyo katemwa na JK kama bigijii iliyoisha utamu?!! Akigombea ubunge Arusha ataambulia aibu ambayo hatoisahau kamwe maishani mwake. CCM Arusha ni sawa na mzoga wa bundi.kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.
bado sijajua yuko kundi gani.Huyu RC si ndiyo katemwa na JK kama bigijii iliyoisha utamu?!! Akigombea ubunge Arusha ataambulia aibu ambayo hatoisahau kamwe maishani mwake. CCM Arusha ni sawa na mzoga wa bundi.
bado sijajua yuko kundi gani.
Inawezekana ikawa ni option ya lowassa.
Au inawezekana ikawa ni option ya jk akitaka kumuondolea machungu.
kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.
kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.
hahahaa atafanyiwa kampeni na masaburi au lusinde?? hata hatutishiki
bado sijajua yuko kundi gani.
Inawezekana ikawa ni option ya lowassa.
Au inawezekana ikawa ni option ya jk akitaka kumuondolea machungu.
kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.
kuna tetesi kuwa ccm inamuandaa aliyewahi kuwa R.C wa arusha ndg Daniel Ole Njolay kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa arusha mjini iwapo chadema watashindwa rufaa yao.