Dangote yafafanua kusimama kwa shughuli za uzalishaji

Tanzania ya Viwanda uchwara. Ni mwendo wa kukanusha tu mbele kwa mbele.
Msemaji wa serikali Wakudadavuwa yuko wapi aje akanushe na hii barua ya TPDC na pia akane TPDC (serikali) hainunuwi gesi inayoimiliki
 
  • Thanks
Reactions: BAK
16“Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine: 17‘Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza!Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkuomboleza!’ 18Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: ‘Amepagawa na pepo’. 19Mwana wa Mtu akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: ‘Mwangalieni huyu, mlafi na mlevi, rafiki yao watozaushuru na wenye dhambi!’ Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo yake.”

Mathayo 11:16-19
 
Wacha wakanushe lkn ck zote maji na mafuta ujitnga tutajua tu ukwel kadri ya ck znavyoenda baada ya ktfta Solution wo kaz kukanusha
 
Ni bora biashar ya Viaz vitamu vikikosa soko utakula kuliko biashara ya nyanya mwenye akili ataelewa
 

Mwijage amsema amefuatilia suala hilo na sababu za kufungwa ni za kiufundi na sio makubaliano
Muhongo naye amesema Tanzania kuna makaa ya mawe yatakayodumu kwa miaka 200
 
Kila kitu ni siasa kwenda mbele, hata maswala ya uchumi nayo bla blaa za siasa tu. Tutabadilika lini sijui?
Halafu tunataka uchumi wa kati ifikapo mwaka 20..... thubutu!

Tangia lini mwanasiasa aliyekolea UKADA akaweka mbele maslahi ya Taifa, yeye anachojali asiondoke madarakani milele siyo maslahi ya Taifa.

Furaha yetu ya jana, ndio kilio chetu cha leo.
 
Serikali,kupitia kwa Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe. Charles Mwijage,imetoa ufafanuzi kuhusu kufungwa kwa kiwanda cha Dangote cha kuzalisha saruji huko Mtwara.

Waziri Mwijage amesema kuwa Dangote wamefunga kiwanda chao kupisha ukarabati wa mitambo yao kiwandani humo na si vinginevyo. Wakati huo huo,Waziri wa Nishati na Madini,Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, amesema kuwa hakuna mgogoro wowote uhusuo uagizwaji au upatikanaji wa makaa ya mawe kwa viwanda hapa nchini.

Chanzo: ITV Habari
Hili sio jibu sahihi kabisa hata mtu asiye enda shule hawezi kulikubali

Kiwanda kifungwe sabab ya kukifanyia repair ...mmmm ngumu Kumeza hii

Kwa style hii mmmmm cjui nawaonea huruma jamaa zangu na ndugu zangu huko wanaramba moto kweli kweli .

Nawashauri vijana wezangu ukipata nafasi ya kuchomoka hapo Tanzania wala usiangalia nyima wala usijiulize mara mbili wewe songa mbele utajua mbele ya safari .
 
Eti kiwanda kifunguliwe juzi tuu alafu kifungwe kwasababu ya marekebisho teh teh.chakuchekesha ni pale serikali inapokuwa msemaji wa kampuni.
 
Serikali,kupitia kwa Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe. Charles Mwijage,imetoa ufafanuzi kuhusu kufungwa kwa kiwanda cha Dangote cha kuzalisha saruji huko Mtwara.

Waziri Mwijage amesema kuwa Dangote wamefunga kiwanda chao kupisha ukarabati wa mitambo yao kiwandani humo na si vinginevyo. Wakati huo huo,Waziri wa Nishati na Madini,Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, amesema kuwa hakuna mgogoro wowote uhusuo uagizwaji au upatikanaji wa makaa ya mawe kwa viwanda hapa nchini.

Chanzo: ITV Habari
Hii ishu naifananisha na kujamba alafu ukajifunika na shuka gubi gubi
 
Serikali,kupitia kwa Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe. Charles Mwijage,imetoa ufafanuzi kuhusu kufungwa kwa kiwanda cha Dangote cha kuzalisha saruji huko Mtwara.

Waziri Mwijage amesema kuwa Dangote wamefunga kiwanda chao kupisha ukarabati wa mitambo yao kiwandani humo na si vinginevyo. Wakati huo huo,Waziri wa Nishati na Madini,Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, amesema kuwa hakuna mgogoro wowote uhusuo uagizwaji au upatikanaji wa makaa ya mawe kwa viwanda hapa nchini.

Chanzo: ITV Habari
Kazi yangu ni KUPIGA SOUND - MWIJAGE .
 
Ndiyo tatizo la kuwa na one man show government. Vikao vya baraza la Mawaziri kavifuta vyote kisa "vinamchelewesha" matokeo yake Mawaziri hawajui kinachoendelea ndani ya Serikali wamebaki kukurupuka tu kuuzima "moto" kila unapotokea. Leo wamekanusha hili kesho wamekanusha lile ali mradi SHIDA TUPU!!

Msemaji wa serikali Wakudadavuwa yuko wapi aje akanushe na hii barua ya TPDC na pia akane TPDC (serikali) hainunuwi gesi inayoimiliki
 
Back
Top Bottom