nra2303
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 2,975
- 2,543
View attachment 441429View attachment 441430Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limekanusha madai ya kuhusishwa na kile kinachotajwa kuwa ni sababu ya Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara kupata hasara na hata uzalishaji Kuzorota
Tamko hili linakuja siku moja baada ya kiwanda cha Saruji cha Dangote kutoa taarifa ikieleza uzalishaji umesitishwa kutokana na hitilafu ya mitambo huku pia suala la uzalishaji kwa kutumia Majenereta ya dizeli yakitajwa kukwamishwa shughuli hiyo
Kupata ufafanuzi zaidi hii leo katika Azam News watakuwa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Chanzo : Azam News
TPDC hawana ubunifu wowote,kwa miaka mingi wapo tu wanaenda mafunzo nje ya nchi,na kulipana posho za usd! lazima wabadilike waanze kussupport wawekezaji km hawama imagine plant ya 600USDmio inazimwa kisa input za production hamna! why tra wasiwaruhusu dangote wa import mafuta yao via BPS wayatumie baada kulipa duties nk,kwa nini waende wakanunua kwenye OMC ambazo zinaweka cost zao+margin ambazo inakua mzigo kwa wawekezaji!
kwa nini serikali isianze kuaondoa kodi kwy mafuta yanayotumika kwy uzalishaji wa cement km walivyofanya kwy baadhi ya migodi??
TPDC wajipange la sivyo watumbuliwe tu hamna namna.