Dangote Cement! Bei nzuri

Dangote Cement! Bei nzuri

Ww jamaa fanya hivi

Naitwa...
Naptikana...
Ni wakala wa cement ya dongote...
Nauza jumla KuanZia Virginia.... kwa tsh.....
Rejareja Kuanzia 1 adi..... kwa tsh.......
Kwamawasiliano piga no.....
Discounts ipo kwa atalaechukua nyingi mfano tan..... natoana offer ya usafir Kuanzia viriba......

Haya typ fast
 
Naomba kujua tofauti ya grade 32.5 na 42.5
 
Mkuu vp kuhusu kuisafilisha haad mikoan inasafikishwa na company yenyewe au mteja anajisafilishia kwa gharama zake plz napenda kulifahamu hili Naishi singida
 
Naomba kujua tofauti ya grade 32.5 na 42.5
42.5N ni cement ambayo inayotimika kujenga majengo makubwa, madaraja. Kwa kifupi ni imara na inatoa majibu ya uimara mda mfupi baada ya kuitumia. Hii nyingine ni tunatumia kwa ujenzi wa kawaida wa Nyumba. Mfano kama mfuko 1 wa 32.5R unavyatua tofali 30 ukitumia 42.5N unaweza kutoa 38 au 40 na ubora wake ukawa sawa au hata zaid
 
Kwa mahitaji ya dangote cement kwa bei nzuri karibu ,unaweza kununua kwetu Na kuuza kwako ukapata faida , Na kwa wale wanaweza kuwekeza kwetu tunawakaribisha

12500/= REJA REJA NA BEI YA JUMLA KIWANDANI 8500/=
Ndugu zangu labda mfafanue kwa kina kabla sijalipiga picha gari ambalo linasambaza cement ya dangote huku Kahama maeneo ya Kakola na Bugarama. Bei wanayouza rejareja ni 18,500/= hadi 19,000/= jumla wanauza elfu 17,000/= had I7,500/=. Hili nimeshuhudia kwa macho yangu rafiki yangu akinunua siku mbili tu zilizopita.
 
Back
Top Bottom