Dangote Cement! Bei nzuri

Dangote Cement! Bei nzuri

Ccreation

Senior Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
145
Reaction score
55
Kwa mahitaji ya dangote cement kwa bei nzuri karibu ,unaweza kununua kwetu Na kuuza kwako ukapata faida , Na kwa wale wanaweza kuwekeza kwetu tunawakaribisha
 
mimi huwa sielewi bei ya kiwandani ni 8500 rejareja 12500 hapo mtanzania kashapigwa 4000 na sijui kama hata inakatwa kodi huu ndio ule ulanguzi na magendo sokoine aliopambana nao kuutokomeza
 
Kwa mahitaji ya dangote cement kwa bei nzuri karibu ,unaweza kununua kwetu Na kuuza kwako ukapata faida , Na kwa wale wanaweza kuwekeza kwetu tunawakaribisha
daah kujieleza kazi...eleza unapatikana wapi....na bei ya jumla na rejareja mkuuu
 
nimeona pale dawasco.. ukitokea Tegeta kwenda Boko wanauza 11,500/
 
Kabla ya kuamua tuambie kwanza grade yake ni ngapi ukilinganisha labda na twiga plus?
 
Huyu kweli kapita hata shule? Hata kutangaza anapatikana wapi? Jumla ni kuanzia tan ngapi? Ni aina gani ya cement? Kuna gharama yoyote mnatoa ya usafiri?
 
Wadau : dangote cement grade 32.5 jumla ni 11300, kuanzia mifuko 300,kwa wale wanaotaka kwenda kuuza, rejareja ni 12300, na grade 42.5 ni 11800 jumla na 12500 rejareja , kwa wale ambao watachukua gari zima la tani 30 ataletewa hadi ofisini kwake , tupo : MACHINGA COMPLEX 3FLOOR NA GODWN LIPO CHANIKA , nipigie namba 0762576878, kwa wale wenye biashara ya tofali maeneo ya karibu na chanika tuwasiliane upate bei nzuri ,
 
Wadau : dangote cement grade 32.5 jumla ni 11300, kuanzia mifuko 300,kwa wale wanaotaka kwenda kuuza, rejareja ni 12300, na grade 42.5 ni 11800 jumla na 12500 rejareja , kwa wale ambao watachukua gari zima la tani 30 ataletewa hadi ofisini kwake , tupo : MACHINGA COMPLEX 3FLOOR NA GODWN LIPO CHANIKA , nipigie namba 0762576878, kwa wale wenye biashara ya tofali maeneo ya karibu na chanika tuwasiliane upate bei nzuri ,
Bei bado ni kubwa hakuna unafuu mkubwa tulioutegemea kutoka kwa dangote.
 
duh mie naona bado haina unafuu wa bei kwa kweli
 
Kwa mkoani tuwasiliane kupitia namba yangu tuongee kwa sababu kuna mambo mengi ya kuzingatia ikiwa ni pamoja na usafiri
 
Back
Top Bottom