Damu zao zinadai kisasi

Damu zao zinadai kisasi

Kaini alimuua nduguye Abel kisha Mungu akamuuliza, "Kaini nduyo yupo wapi ?"
Kaini akamjibu Mungu kwa jeuri kwamba yeye hakupewa kazi ya kumlimda nduguye.
Mungu akamjibu Kaini, "Damu ya nduguyo inanililia mimi ".
Baada ya hapo, Mungu alimlaani Kaini.
Usiombe kulaaniwa na Mungu, ujue umekwisha kabisa.
Fanya yote ktk maisha yako lakini usije kumwaga damu ya mtu asiye na hatia,(kuua).
Kazi ya kutoa roho ya mtu asiye na hatia ni ya Mungu mwenyewe.
Hivi Kumkosoa mtu ambaye hataki kukosolewa, adhabu ya mkosoaji ni kifo?
Ni kwa nini Kama mtu anakukera usimweke selo tu hata miaka minne kuliko kutoa uhai wake?
Hivi Tundu Lissu kukosoa tu ndo alistahili kifo?
Mawazo kuwa mpinzani tu naye alistahili kifo?
Ben Saanane kusema tu Elimu ya mfalme ina walakini naye alistahili kifo?
Kanguye kuwa mpinzani tu naye alistahili kifo?
Azori Gwanda kuwa mwandishi msema kweli naye alistahili kifo?
Hivi mnajua kwamba kuna mataifa yenye roho za mauti? Na aina ya mataifa hayo huwa hayaendelei hata siku moja.
Roho za mauti huwa zinakuja Kama kisasi baada ya Damu za watu wasio na hatia kumwagwa.
Nitawatajia baadhi ya nchi zenye Roho za mauti, na Roho hizo huwa hazitoki hadi taifa lifanye ibaada maalumu za toba ikiambatana na kutoa sadaka mbele ya Mungu ndo Roho za mauti hutoweka.
Baadhi ya mataifa yenye Roho za mauti Duniani.
1.Iraq
2.Libya
3.Syria
4.Congo
5.Sudan (zote)
6.Burundi
7.Yemen
8.South Africa
9.Rwanda
10.Marekani
11.Uganda
12.Iran
13.Kenya
14.Mozambique
15.Tanzania
Hizo ni baadhi ya nchi Duniani, Kila Damu inayomwagwa bila hatia hulia kwa Mungu ikidai kisasi, Kila kisasi huja kulipwa kwa Staili yake.
Mambo ya kuandika ni mengi mno na muda ni mchache.
Damu iliyomwagwa kwa sababu za kisiasa hulipwa kisiasa siasa, na Damu iliyomwagwa mitaani hulipwa kimtaa mtaa.
Tutaonana Kwenye Part -5 ya TISS Bado safari ngumu
Kila muuaji ni mtoto wa shetani, hivyo huyu bwana sio chaguo laungu bali la shetani
 
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kifupi tundu ni ukoo wa Cain, laana inamuandama, na bado!

Haya endeleeni mkanipige ban, lkn UKWELI ndo huo, na utajulikana kwani mmeshaanza kufarakana mmoja wenu ataropoka tu!
Umesahau,na Akwilina walimpiga risasi!
Shetani wa kike wewe
 
Ningekuona una maana kama ungekuja na vithibitisho vya kwamba mkono wa Kiongozi fulani ndio umehusika na kutoa roho za hao wahanga, tofouti na hapo sioni utofouti wako na waimba taarabu

JPM yupo na ataendelea kuwepo mpaka pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kumpumzisha

Kuna kitu inaitwa "circumstantial evidence". Wewe kwa akili yako yote, itakuchukua umri wako wote kuelewa hiki kitu!! Bora ukanyamaza, uwaaxhie wenye akili huu uzi. Huna uwezo wowote wa kumtetea mtu!!
 
Kuna kitu inaitwa "circumstantial evidence". Wewe kwa akili yako yote, itakuchukua umri wako wote kuelewa hiki kitu!! Bora ukanyamaza, uwaaxhie wenye akili huu uzi. Huna uwezo wowote wa kumtetea mtu!!
Anayetakiwa kusema circumstantial evidence zinaonyesha wazi ni mahakama sio chizi yeyote barabarani akiwemo mleta mada au wewe
 
Karma .... Hivi TL kweli hajui nani akiwatuma waluomshambulia??? Mbona hajawahi kusema hadharani ??
 
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kif
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kifupi tundu ni ukoo wa Cain, laana inamuandama, na bado!

Haya endeleeni mkanipige ban, lkn UKWELI ndo huo, na utajulikana kwani mmeshaanza kufarakana mmoja wenu ataropoka tu!
Huo wehu wako ni wa kuzaliwa nao au umeupata utu uzimani
 
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kifupi tundu ni ukoo wa Cain, laana inamuandama, na bado!

Haya endeleeni mkanipige ban, lkn UKWELI ndo huo, na utajulikana kwani mmeshaanza kufarakana mmoja wenu ataropoka tu!
Kwaio ndo maana CCTV ziliondilewa kwa kalemani, uchunguzi huru umekataliwa, kusoma albadiri kulizuiwa sababu Chadema ingeumbuka vibaya sana ila sababu ya mapenzi makubwa ya serikali kwa chadema ikaamua isitishe yote hayo mkuu si ndio?
 
Kaini alimuua nduguye Abel kisha Mungu akamuuliza, "Kaini nduyo yupo wapi ?"
Kaini akamjibu Mungu kwa jeuri kwamba yeye hakupewa kazi ya kumlimda nduguye.
Mungu akamjibu Kaini, "Damu ya nduguyo inanililia mimi ".
Baada ya hapo, Mungu alimlaani Kaini.
Usiombe kulaaniwa na Mungu, ujue umekwisha kabisa.
Fanya yote ktk maisha yako lakini usije kumwaga damu ya mtu asiye na hatia,(kuua).
Kazi ya kutoa roho ya mtu asiye na hatia ni ya Mungu mwenyewe.
Hivi Kumkosoa mtu ambaye hataki kukosolewa, adhabu ya mkosoaji ni kifo?
Ni kwa nini Kama mtu anakukera usimweke selo tu hata miaka minne kuliko kutoa uhai wake?
Hivi Tundu Lissu kukosoa tu ndo alistahili kifo?
Mawazo kuwa mpinzani tu naye alistahili kifo?
Ben Saanane kusema tu Elimu ya mfalme ina walakini naye alistahili kifo?
Kanguye kuwa mpinzani tu naye alistahili kifo?
Azori Gwanda kuwa mwandishi msema kweli naye alistahili kifo?
Hivi mnajua kwamba kuna mataifa yenye roho za mauti? Na aina ya mataifa hayo huwa hayaendelei hata siku moja.
Roho za mauti huwa zinakuja Kama kisasi baada ya Damu za watu wasio na hatia kumwagwa.
Nitawatajia baadhi ya nchi zenye Roho za mauti, na Roho hizo huwa hazitoki hadi taifa lifanye ibaada maalumu za toba ikiambatana na kutoa sadaka mbele ya Mungu ndo Roho za mauti hutoweka.
Baadhi ya mataifa yenye Roho za mauti Duniani.
1.Iraq
2.Libya
3.Syria
4.Congo
5.Sudan (zote)
6.Burundi
7.Yemen
8.South Africa
9.Rwanda
10.Marekani
11.Uganda
12.Iran
13.Kenya
14.Mozambique
15.Tanzania
Hizo ni baadhi ya nchi Duniani, Kila Damu inayomwagwa bila hatia hulia kwa Mungu ikidai kisasi, Kila kisasi huja kulipwa kwa Staili yake.
Mambo ya kuandika ni mengi mno na muda ni mchache.
Damu iliyomwagwa kwa sababu za kisiasa hulipwa kisiasa siasa, na Damu iliyomwagwa mitaani hulipwa kimtaa mtaa.
Tutaonana Kwenye Part -5 ya TISS Bado safari ngumu
kulipa kisiasasiasa ndio vipi mkuu
 
Ningekuona una maana kama ungekuja na vithibitisho vya kwamba mkono wa Kiongozi fulani ndio umehusika na kutoa roho za hao wahanga, tofouti na hapo sioni utofouti wako na waimba taarabu

JPM yupo na ataendelea kuwepo mpaka pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kumpumzisha
Umejuaje Magufuli ndiye Kaini aliyetajwa.
 
Mleta mada naona kajipa cheo cha mwenyezi Mungu na mahakama kujua nani damu yake imemwagika kwa haki na nani siyo!!!!

Mada kaiandika kijuaji wakati evidence hana kajaa assumptions tupu na hisia koko za kisiasa tu
Kitu cha msingi ni ujumbe kufika.
 
Naunga mkono hoja. Hii kitu inaitwa karma.
Ina uzuri mmoja na ubaya mmoja.
Uzuri wa karma, kila mtu atalipwa kwa mawazo, maneno na matendo yake na malipo hapa hapa duniani.

Ubaya, ni fidia ya karma is not standard, unaweza kutenda ubaya mdogo tuu lakini majanga ya mapigo ya karma yakawa makubwa ajabu.

Because kuna vitu we are not sure who did them, unawezs kukuta hata kupotea kwa Ben Saanane na shambulio kwa Tundu Lissu pia karma payback kwa matendo yao!.

Angalizo, hata kumhisi tuu mtu fulani vibaya mfano kumhisi aliyetuma Lissu ashambuliwe, ni fulani, halafu ikatokea ni ukweli kabisa Tundu Lissu ameshambuliwa na watu wasiojulikana kweli ambao hawajulikani, na sio huyo unayemhisi, then kitendo tuu cha kumhisi ni fulani ni dhambi ila haina karma, kama ilivyo kwa sisi Wakristu, ukimtazama tuu mwanamke mrembo ukamtamani kums.x then unakuwa umeisha tends ile dhambi ila hauna adhabu, ukitenda ndio unaadhibiwa!.

Hivyo kumhisi mtu vibaya ni dhambi ila haina adhabu, ila ukimsema na kumuandika ni kitendo, unastahili adhabu ya karna.

Tuepuke kuwaza mabaya, kusema mabaya, kutenda mabaya.
P
Mkuu vipi ikitokea kila siku wewe ni mtu wa kusingiziwa tu vitu tofauti tofauti haiwezi kuwa ni kazi ya karma kwa matendo yako mengine ya ovyo ambayo umekuwa ukiyafanya?
 
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kifupi tundu ni ukoo wa Cain, laana inamuandama, na bado!

Haya endeleeni mkanipige ban, lkn UKWELI ndo huo, na utajulikana kwani mmeshaanza kufarakana mmoja wenu ataropoka tu!
Nafikiri ni muda mwafaka sasa uielekeze Serikali ndani ya Chadema ni Nani hasa aliyehusika kifyatua risasi ili Sheria uchukue mkondo wake.Ni wazi inaonekana unajua jambo hilo kwa undani kuliko Serikali na Vyombo vyake Vya ulinzi.
 
Anayetakiwa kusema circumstantial evidence zinaonyesha wazi ni mahakama sio chizi yeyote barabarani akiwemo mleta mada au wewe

Kwani hizo Mahakama zina ongozwa na Malaika ?.Kama kweli zingekuwa zinatoa Haki Sahihi na kwa wakati ni kwa nini pakawepo na Mahakama za Rufaa ?.Au unafikiri walio uunda huu Mfumo hawakuwa wakifikiri sawa sawa !!?

Tena Chizi anaweza akawa mkweli kuliko hao walinda Vyeo walio kwenye Taasisi zinazo takiwa kutoa Haki bila ya upendeleo.
 
Tundu lisu kapigwa risasi na chadema, na alishiriki kwenye hiyo plot, walipanga wafyatue risasi gari lake halafu waisingizie Serikali yetu, mpango ukaback fire mahesabu yakakataa Tundu lisu akawemo, na ndo maana wamemficha dereva kwani anajua mchezo wote.

Kwa kifupi tundu ni ukoo wa Cain, laana inamuandama, na bado!

Haya endeleeni mkanipige ban, lkn UKWELI ndo huo, na utajulikana kwani mmeshaanza kufarakana mmoja wenu ataropoka tu!
Women's wombs bear faeces
 
Ningekuona una maana kama ungekuja na vithibitisho vya kwamba mkono wa Kiongozi fulani ndio umehusika na kutoa roho za hao wahanga, tofouti na hapo sioni utofouti wako na waimba taarabu

JPM yupo na ataendelea kuwepo mpaka pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kumpumzisha
JPM amekujaje hapa? Nimetaja taifa Siyo kiongozi, omba upate hekima hata kidogo tu
 
Katika hao ' the so called Intellectuals ' na Wewe humo? Nani amekudanganya kuwa Wewe ni miongoni mwao? Hivi ' Intellectual ' huwa anajitaja au Watu ndiyo wanajua kama si Kuona huo Uwezo wake? Sasa kama Wewe ni ' Intellectual ' Mwenzako Mimi ni ' Brainiac ' hasa kama unavyoona hapo chini katika ' Signature ' yangu sawa?
Tatizo lako nini hasa?
 
Mleta mada naona kajipa cheo cha mwenyezi Mungu na mahakama kujua nani damu yake imemwagika kwa haki na nani siyo!!!!

Mada kaiandika kijuaji wakati evidence hana kajaa assumptions tupu na hisia koko za kisiasa tu
Duh...uwe unasoma mada na kuitafakari kwanza unakurupuka kuchangia wakati hujaelewa lolote
 
Back
Top Bottom