Naunga mkono hoja. Hii kitu inaitwa karma.
Ina uzuri mmoja na ubaya mmoja.
Uzuri wa karma, kila mtu atalipwa kwa mawazo, maneno na matendo yake na malipo hapa hapa duniani.
Ubaya, ni fidia ya karma is not standard, unaweza kutenda ubaya mdogo tuu lakini majanga ya mapigo ya karma yakawa makubwa ajabu.
Because kuna vitu we are not sure who did them, unawezs kukuta hata kupotea kwa Ben Saanane na shambulio kwa Tundu Lissu pia karma payback kwa matendo yao!.
Angalizo, hata kumhisi tuu mtu fulani vibaya mfano kumhisi aliyetuma Lissu ashambuliwe, ni fulani, halafu ikatokea ni ukweli kabisa Tundu Lissu ameshambuliwa na watu wasiojulikana kweli ambao hawajulikani, na sio huyo unayemhisi, then kitendo tuu cha kumhisi ni fulani ni dhambi ila haina karma, kama ilivyo kwa sisi Wakristu, ukimtazama tuu mwanamke mrembo ukamtamani kums.x then unakuwa umeisha tends ile dhambi ila hauna adhabu, ukitenda ndio unaadhibiwa!.
Hivyo kumhisi mtu vibaya ni dhambi ila haina adhabu, ila ukimsema na kumuandika ni kitendo, unastahili adhabu ya karna.
Tuepuke kuwaza mabaya, kusema mabaya, kutenda mabaya.
P