baada ya damu ya lissu kumwaga na wasiojulikana sasa ni wazi damu yake haikumwagika bure.
Kama Vile Damu ya Yesu ilivyomwagwa msalabani ma kuwa sababu ya wokovu wetu, wana singida wamejikuta matatizo yao ya muda mrefu sasa yakitafutiwa ufumbuzi.
Mawaziri wawili wako singida wakisimamia miradi ya maji na kuhakilisha yanatoka
Watesi wa Lissu wanafanya kila linalowezekana kumfanya asahaulike kwa watu wake ea Singida Mashariki, lakini wakati huo huo wanyaturu wanafahamu kuwa sadaka aliyotoa Lissu ndo sababu hasa ya yanayoendelea.
Kama Vile Damu ya Yesu ilivyomwagwa msalabani ma kuwa sababu ya wokovu wetu, wana singida wamejikuta matatizo yao ya muda mrefu sasa yakitafutiwa ufumbuzi.
Mawaziri wawili wako singida wakisimamia miradi ya maji na kuhakilisha yanatoka
Watesi wa Lissu wanafanya kila linalowezekana kumfanya asahaulike kwa watu wake ea Singida Mashariki, lakini wakati huo huo wanyaturu wanafahamu kuwa sadaka aliyotoa Lissu ndo sababu hasa ya yanayoendelea.