Damu kutapakaa kwenye kizazi, nini chanzo?

mike2k

JF-Expert Member
May 12, 2016
1,458
3,127
Habari humu ndani....
Nahitaji ushauri wenu hapa...kuna binti nina uhusiano naye kwa kipindi cha miezi mitatu....tangu nianze naye uhusiano kaona siku zake mzunguko mmoja tu mara mbili badala ya mara tano ka ilivyo kawaida ake.juzi kaenda kupima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo akaniambia kuwa hakuona chochote.....ila kuanzia jioni bleed ikaanza kumtoka isivyo kawaida kupitiliza hali imezidi kuwa mbaya mpk jana kaenda hospital....... Wamemchoma sindano mchana na jion na sijui wamempa cristapen pamoja na vidonge vya majira.....wakamwambia kuwa chanzo cha tatizo ni kwamba damu imetapakaa kwenye kizazi...
Wataalam wa afya mlioko huku ndani naombeni mnisaidie jambo hivi ni nini kinasababisha hali hii itokee kwa bleed kutoka mabonge mabonge?
Je,damu kutapakaa kwenye kizazi ni nini chanzo?
Hivyo vidonge vya majira alipewa vya nini?
Naombeni ushauri wenu ili mnitoe katika wasiwasi
 
Mpeleke kwa gynaecology labda oil seal imedondoka maana ikiachia hiyo seal huwa damu inaruka kama vile ukifungua chupa ya champagne
 
Habari humu ndani....
Nahitaji ushauri wenu hapa...kuna binti nina uhusiano naye kwa kipindi cha miezi mitatu....tangu nianze naye uhusiano kaona siku zake mzunguko mmoja tu mara mbili badala ya mara tano ka ilivyo kawaida ake.juzi kaenda kupima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo akaniambia kuwa hakuona chochote.....ila kuanzia jioni bleed ikaanza kumtoka isivyo kawaida kupitiliza hali imezidi kuwa mbaya mpk jana kaenda hospital....... Wamemchoma sindano mchana na jion na sijui wamempa cristapen pamoja na vidonge vya majira.....wakamwambia kuwa chanzo cha tatizo ni kwamba damu imetapakaa kwenye kizazi...
Wataalam wa afya mlioko huku ndani naombeni mnisaidie jambo hivi ni nini kinasababisha hali hii itokee kwa bleed kutoka mabonge mabonge?
Je,damu kutapakaa kwenye kizazi ni nini chanzo?
Hivyo vidonge vya majira alipewa vya nini?
Naombeni ushauri wenu ili mnitoe katika wasiwasi
Kama si kuelewa Kwako tofauti naweza kusema umekutana na mtoa huduma kanjanja.Mpekeleke Hospital ambayo ni ngazi ya juu zaidi ya hiyo.Mostly mama apopata severe vaginal bleeding huwa anakuwa na hormonal imbalance ...mambo mengine pia hapo yanaweza kusababisha mf.miscarriage au akipata abortion kukawa na retained product kwenye uterus uwezekano wa kupata severe bleeding ni mkubwa.Point nyingine tena wakati mwingine hao wadada wanakuwa na mambo mengine mf.anaweza kuchokonoa mimba akakuficha then hali inapokuwa mbaya anakulengesha kwa mtu amabaye alimchokonoa hiyo maneno then unapoulizia sababu unapewa amabazo ni za kukuzunguka na hazina good description maana ngoma waliisha icheza mapema.(baadhi si wote)
 
Wakuu nilikuja pata jibu huyu mtu alitoa mimba akanizunguka
 
Back
Top Bottom