ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,264
- 4,449
Kuna mtu amekaa mahali anatazama yanayoendelea duniani,Anataza yanayoendelea nchini na anatazama yanayoendelea Tanzania.
Huyu mtu sio mtu mzuri sana wala sio mtu mbaya.Kwa sasa hana uwezo wa kufanya chochote ila anao uwezo mkubwa sana.
Acheni hayo mnayoyafanya msijemuamsha mmwagaji damu huyu.Yeye hatafanya kwa woga wala kwa kujificha,wala hatakosea na kubahatisha.Hatatisha watu wala kuwadanganya bala atamwaga damu.
Amepewa mafunzo kwa gharama za nchi hii,anaishi maisha ya anasa kwa gaharma za nchi hii na kwamba anaona yanayoanyika ya kwamba sio haki ila bado amekaa kimya.Anaumia ila anaamini kwamba soon mtatambua kwamba hapendezwi na hali hii na mtabadilika.Ni mtu mbaya sana.
Mtu huyu anaweza kumuua Kiongozi yeyote mkubwa wa nchi bila hata kumfikia,anaweza kuua maelfu ya raia bila hata kumuona.Ni mtu ambaye ana ilimu ya silaha za kikemia,kibaioloji na kidigitali.Ni mtu ambaye tayari ameandaliwa kwa ajili ya mapambano.
Amekaa kimya ila anawaona na anaona kinachofanyika na hakijamfurahisha.
Acheni kuwasumbua wananchi kwa vitisho mbabe wao akiinuka nchi haitatawalika.
Kumbuka mbabe huyu haitaji umaarufu wa kisiasa,hahitaji utajiri,wala hahitaji kusaidiwa na mtu yeyote.Vita yake atapigana mwenyewe.Anaingia ikulu kama nyumbani na anao uwezo wa kuingia katika ofisi yoyte ya umma na kufanya lolote atakalo
Acheni udhalimu kabala hamjafikwa na udhalimu
Huyu mtu sio mtu mzuri sana wala sio mtu mbaya.Kwa sasa hana uwezo wa kufanya chochote ila anao uwezo mkubwa sana.
Acheni hayo mnayoyafanya msijemuamsha mmwagaji damu huyu.Yeye hatafanya kwa woga wala kwa kujificha,wala hatakosea na kubahatisha.Hatatisha watu wala kuwadanganya bala atamwaga damu.
Amepewa mafunzo kwa gharama za nchi hii,anaishi maisha ya anasa kwa gaharma za nchi hii na kwamba anaona yanayoanyika ya kwamba sio haki ila bado amekaa kimya.Anaumia ila anaamini kwamba soon mtatambua kwamba hapendezwi na hali hii na mtabadilika.Ni mtu mbaya sana.
Mtu huyu anaweza kumuua Kiongozi yeyote mkubwa wa nchi bila hata kumfikia,anaweza kuua maelfu ya raia bila hata kumuona.Ni mtu ambaye ana ilimu ya silaha za kikemia,kibaioloji na kidigitali.Ni mtu ambaye tayari ameandaliwa kwa ajili ya mapambano.
Amekaa kimya ila anawaona na anaona kinachofanyika na hakijamfurahisha.
Acheni kuwasumbua wananchi kwa vitisho mbabe wao akiinuka nchi haitatawalika.
Kumbuka mbabe huyu haitaji umaarufu wa kisiasa,hahitaji utajiri,wala hahitaji kusaidiwa na mtu yeyote.Vita yake atapigana mwenyewe.Anaingia ikulu kama nyumbani na anao uwezo wa kuingia katika ofisi yoyte ya umma na kufanya lolote atakalo
Acheni udhalimu kabala hamjafikwa na udhalimu