Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,124
- 39,337
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 na kuendelea huko mbele hata kama Magufuli atashinda ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Siuoni uhai wa CCM kunanzia 2020 na kuendelea ni suala la muda tuu huu uzi utakua kama rejea.
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Mungu awabariki.
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 na kuendelea huko mbele hata kama Magufuli atashinda ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Siuoni uhai wa CCM kunanzia 2020 na kuendelea ni suala la muda tuu huu uzi utakua kama rejea.
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Mungu awabariki.