Dalili za mwanamke anayekupenda

Dalili za mwanamke anayekupenda

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,474
* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.

* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.

* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.

* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.

* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.

* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.

Mwenye nyongeza aongezee.............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.

* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.

* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.

* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.

* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.

* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.

Mwenye nyongeza aongezee.............

Sent using Jamii Forums mobile app
hatokuomba hela,period!
 
* dalili nyingine atasema nashinda na pesa kesho anko au kaka akituma ntarudisha amini hii ndio dalili tosha
hahahahahaahahahaahahaha, huo ni upendo kumbe ukiambiwa hivyo hahahahaha
 
* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.

* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.

* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.

* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.

* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.

* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.

Mwenye nyongeza aongezee.............

Sent using Jamii Forums mobile app
Hupenda kukuomba vocha na ukimpa nakubip hapigi
 
* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.

* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.

* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.

* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.

* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.

* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.

Mwenye nyongeza aongezee.............

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama upo naye mbali, utamtambuaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom