Dalili za mvua ni mawingu. Itakuwa ni kijani tu Bungeni, Baraza la wawakilishi na Mabaraza ya miji

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Wahenga walishasema ukiona wingu zito limetanda fahamu kuwa kuna mvua kubwa itanyesha.

CCM ya sasa imenona na imekuwa safi na kwa mantiki hii inakubalika kwa wananchi. Ndio maana kila jimbo au kata ni mafuriko ya wanaCcm kuchukua fomu ili wakajaribu kupata nafasi ya kuwa wawakilishi wa wananchi. Na wanafanya hivi sababu wanajua watashinda sababu Ccm inakubalika 100%.

Lakini Ccm haijanona hivi hivi kiurahisi. Bali kazi kubwa iliyofanywa na serikali yake chini ya JPM ndio iliyosababisha watu wakawa na imani na chama hiki.

Kudhibiti rushwa na ufisadi ambao umepelelea kufanya miradi ya kimkakati ambayo in manufaa ya kimaendekeo kwa wananchi ndio siri ya CCM kujenga imani kwa wananchi.

Mfano mradi wa maji kutoka Shinyanga mpaka Tabora ambao umegharimu bil 600 ni moja ya miradi ambayo itaipa ushindi Ccm kwa kila mgombea eneo la mkoa wa Tabora. Maana yake ni Rais, Mbunge na Diwani watakuwa CCM.

Pia ujenzi wa meli mbili ziwa Nyasa ambao umeondo kero ya usafiri ziwani humo. Utaipa ushindi mkoani Ruvuma na Mbeya kwa nafasi zote tatu zinazogombewa.

Hii ni sababu wananchi wametatuliwa kero zao na CCM chini ya JPM.

Hii ni mifano kiduchu tu na kwa mantiki hii CHADEMA na wapinzani uchwara ambao kazi yao ni kupinga maendeleo ya taifa hili wasubiri kuona Tanzania ya kijani kila mahala.
 
Jidanganye na ushindi wa mitandaoni na matangazo.

Unajua wananchi wa chini wana nini moyoni?

SGR au flyovers?

Wanayo milo x 3?

Uchumi wa kati umewafikia?

Rais hakuna namna lakini wabunge kama uwanja ni huru na kama sio kama yale mazingaombwe ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, tayari ungekuwa na MIZANIA YA POST YAKO.
 
Jidanganye na ushindi wa mitandaoni na matangazo.

Unajua wananchi wa chini wana nini moyoni?

SGR au flyovers?

Wanayo milo x 3?

Uchumi wa kati umewafikia?

Rais hakuna namna lakini wabunge kama uwanja ni huru na kama sio kama yale mazingaombwe ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, tayari ungekuwa na MIZANIA YA POST YAKO.
Wabunge na madiwani kwa kupitia Chadema? Hiyo milo 3 ulitaka serikali igawe?
 
Mtu kastaafu kazini amekaa nyumbani mwaka mzima bila mafao yake halafu unampelekea habari ya SGR na flyover?!

We dogo sijui utakua lini!.
Soma na ufuatilie hotuba ya bajeti. Wastaafu kibao wanalipwa mafao. Wewe unaishi kwa kukariri tu.
 
Mtu kastaafu kazini amekaa nyumbani mwaka mzima bila mafao yake halafu unampelekea habari ya SGR na flyover?!

We dogo sijui utakua lini!.
Zungumzia meli za ziwa Nyasa ambazo zitasaidia usafiri kwa kila mtu. Mkulima,mfanyabiashara na mfanyakazi. Sio hoja za kuriri kama hizi.
 
Tumchague Nani Sasa Hivi
Chama Dola!!!
Ndugu Zangu Mniamini Niwafanyizie Kazi Maendeleo Hayana.

Kosea Kuoa Ila Siyo Kuchagua
Mke Ukikosea Mnaachana Saa Hiyo Hiyo. Ukikosea Kuchagua Hadi Miaka 5 Iishe 😀😁😄😃
 
Wahenga walishasema ukiona wingu zito limetanda fahamu kuwa kuna mvua kubwa itanyesha.

CCM ya sasa imenona na imekuwa safi na kwa mantiki hii inakubalika kwa wananchi. Ndio maana kila jimbo au kata ni mafuriko ya wanaCcm kuchukua fomu ili wakajaribu kupata nafasi ya kuwa wawakilishi wa wananchi. Na wanafanya hivi sababu wanajua watashinda sababu Ccm inakubalika 100%.

Lakini Ccm haijanona hivi hivi kiurahisi. Bali kazi kubwa iliyofanywa na serikali yake chini ya JPM ndio iliyosababisha watu wakawa na imani na chama hiki.

Kudhibiti rushwa na ufisadi ambao umepelelea kufanya miradi ya kimkakati ambayo in manufaa ya kimaendekeo kwa wananchi ndio siri ya CCM kujenga imani kwa wananchi.

Mfano mradi wa maji kutoka Shinyanga mpaka Tabora ambao umegharimu bil 600 ni moja ya miradi ambayo itaipa ushindi Ccm kwa kila mgombea eneo la mkoa wa Tabora. Maana yake ni Rais, Mbunge na Diwani watakuwa CCM.

Pia ujenzi wa meli mbili ziwa Nyasa ambao umeondo kero ya usafiri ziwani humo. Utaipa ushindi mkoani Ruvuma na Mbeya kwa nafasi zote tatu zinazogombewa.

Hii ni sababu wananchi wametatuliwa kero zao na CCM chini ya JPM.

Hii ni mifano kiduchu tu na kwa mantiki hii CHADEMA na wapinzani uchwara ambao kazi yao ni kupinga maendeleo ya taifa hili wasubiri kuona Tanzania ya kijani kila mahala.
Kwa kuwa vichaa wanajazana ofisi za CCM kuchukua form au?
 
Jidanganye na ushindi wa mitandaoni na matangazo.

Unajua wananchi wa chini wana nini moyoni?

SGR au flyovers?

Wanayo milo x 3?

Uchumi wa kati umewafikia?

Rais hakuna namna lakini wabunge kama uwanja ni huru na kama sio kama yale mazingaombwe ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, tayari ungekuwa na MIZANIA YA POST YAKO.
Kwani hao wananchi unaowasema walikuwa na nini kabla ya magufuli. Yaani ni mchawi pekee anayekataa alichoandika mtoa mada. Yaani ni ujinga kusema Haya maendeleo hayawahusu watu wa kawaida. Barabara, Reli,meli,Umeme n.k hawa watu mnaowasema hayawahusu vitu hivyo ni nani.

Tuache ujinga
 
Hakuna demokrasia ya hivyo, kwenye kundi kubwa la watu ni lazima watokee wenye mtazamo tofauti. Haiwezekani taifa zima likawa na vipaumbele vinavyofanana.
 
Back
Top Bottom