Dalili za kuwa na mpenzi/mke/mume 'bogus'

Dalili za kuwa na mpenzi/mke/mume 'bogus'

hhahaa umesema kweli kAis fulan lakin had unikague mie diary yangu na ww u msafI .. kias gan!msikimbilie kusema mnataka kuoa wake vichwa smart kumbe wewe mume ndo BOGUS!jitathimini pia na ww km unafaa kuitwa MUME!

Na kwann unikague maisha yangu ya nyuma! REMEMBER EVERYBODY HAS A PAST!
hapo kwenye red, huwa mnasema tu then you walk the talk
 
hhahaa umesema kweli kAis fulan lakin had unikague mie diary yangu na ww u msafI .. kias gan!msikimbilie kusema mnataka kuoa wake vichwa smart kumbe wewe mume ndo BOGUS!jitathimini pia na ww km unafaa kuitwa MUME!

Na kwann unikague maisha yangu ya nyuma! REMEMBER EVERYBODY HAS A PAST!
Kweli
Mi.hua nashangaaga sana wanaume wao wanaogopa kuleta kisirani nyumbn lkn hawafikirii upande wa pili kwamba na ss girls tunahofu pia ya kuhamishwa kwenu na kupelekwa kwenye jehanamu ya moto.
Unapotafuta mke mwenye hivyo vigezo hakikisha na ww unavikaribia ama umezidi(vile unavyopaswa kua navyo).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli
Mi.hua nashangaaga sana wanaume wao wanaogopa kuleta kisirani nyumbn lkn hawafikirii upande wa pili kwamba na ss girls tunahofu pia ya kuhamishwa kwenu na kupelekwa kwenye jehanamu ya moto.
Unapotafuta mke mwenye hivyo vigezo hakikisha na ww unavikaribia ama umezidi(vile unavyopaswa kua navyo).

Sent using Jamii Forums mobile app


binafsi mie hawa sasa hv hawanisumbui! nasemaga siku zote km MUNGU atahukumu na wanandoa nahakika ataniambia [HASHTAG]#pita[/HASHTAG] tu mbiti madhambi yako nayahamishia kwa mumeo!... ukiona mkeo amebadilika na alikua mwamniifu jua wewe ndo umembadilisha! mnakazana kutafta wake wema kumbe nyie wachafu kupindukia! mtupishe hebu
 
Bahati nzuri ktk sifa zote zilizotajwa sina hata moja nadhani nafaa kua mke...........[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] ahsante mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom