RAGNAR LOTH
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 698
- 1,613
Ukiona dalili zifuatazo ujue mke, mume/ mpenzi wako ni BOMU. Kama umeshaoa hakuna namna inabidi tu upambane na hali yako. Kama hujaoa hii thread yaweza kuwa kivunja uchumba.
1) Ukiona mtu ambaye (1/3) ya matumizi yake ya mwezi ni kwenye cosmetics, mavazi, mapambo, viwanja na mengine yafananayo.
Mke / mpenzi mzuri kimwonekano wa nje naturally na yule aliye smart kichwani hawezi kufanya ( 1/3 ) ya matumizi yake kwenye maplastics. Ukiona anatumia muda mwingi kwenye hayo mambo ujue
--- Hajikubali alivyo na hatakaa ajikubali.
--- Hana focus yeyote kwenye maisha huyo.
Kuna msemo unasema " TELL ME YOUR EXPENDITURE AND I'LL TELL WHO YOU ARE."
2) Angalia " nature " ya stori zake.
Mwanamke / Mwanaume ambaye stori zake ni kusengenyana muda wote, kuongelea maisha ya juu bila mpango wowote wa kuyafikia, movie, asiye pitwa na matukio ya kina Sepenga, viwanja ,
Unahitaji huruma za Menyezi Mungu ukioa / kama umeshaoa huyo mwanamke / mwanamume.
Wanasema " KINACHOMTOKA MTU NI SEHEMU TU YA KILICHOPO AKILINI." Kwa maana hiyo
kama anaongea pumba huko kichwani ndo zipo madebe na madebe ya pumba.
Mpime katika story 10 alizokupa, kaongelea jambo gani.? Lina mashiko.?
3) Angalia tamaa zake ziko wapi?
Usipanic akimtamani mwanaume / mwanamke mwingine kando ya wewe mkiwa wote,
lakini jiulize mtu anayemtamani ni wa aina gani.? Yuko smart kichwani.?
Angalia pia na tamaa zake zingine ziko kwenye mambo ya nature gani.?
Wanasema " HUMAN BEHAVIOUR FLOWS FROM THREE MAIN SOURCES : DESIRE, EMOTION AND KNOWLEDGE. "
4) Angalia company yake ni kina nani.?
Angalia huyo mwanamke / mwnamume anaongozana na watu wa namna gani.?
Kama ukishindwa kumsoma yeye ni wa namna gani kwa ku fake akiwa mbele yako, wasome marafiki zake . simple as that. Ana hang na watu gani?
" SHOW ME YOUR FRIENDS AND I TELL YOU WHO YOU ARE ".
Ukishaona company yake ni MABOMU ya machozi yote andaa machozi kijana mkishakuwa
pamoja ndani ya nyumba. Wakiwa ni watu wenye fikra pana, hawana vijitabia vya ajabu ajabu
chukua dodo hilo chini ya mparachichi.
5) Fanya kila njia muibie " diary " kama anayo.
Siri zote za mtu hujificha humu kama ana vijitabia vya kuandika andika.
Wanawake hasa hujisanua humu kuliko hata kwa marafiki zake wa karibu. Hata tabia za marehemu kama hazijulikani husomwa humu diaries. Utakachokikuta humu ndivyo alivyo in 99%.
Achana na mambo ya tracking za simu, usihangaike mno, hii ni njia rahisi sana kumjua mtu. Hata background ya maisha yake utaikuta humu kama huijui.
6) Choose carefully career ya mtu wako.
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Hapa ndipo wengi wananipiga mawe, na kunivurumushia
mijitusi mikubwa mikubwa. Na mimi wala siikimbii ID yangu
Wanasema " MARRY PRETTY WOMEN OR UGLY ONES. SHORT ONES OR TALL ONES, BLONDES OR BRUNETTES. JUST, WHATEVER YOU DO, DON'T MARRY A WOMAN WITH A CAREER WHICH DOESN'T MATCH WITH YOURS".
Somebody's career defined his/her dreams trust me.
NB. Wengi waume kwa wake mnachagua elimu ya kwenye makaratasi kama kigezo sahihi cha kuchagua mwenza. Trust me kwa wengine mnapotea, tena yaweza kuwa majority. Ustaarabu, ndoto za mtu, na tabia zake haziko kwenye vyeti.
OVA.
1) Ukiona mtu ambaye (1/3) ya matumizi yake ya mwezi ni kwenye cosmetics, mavazi, mapambo, viwanja na mengine yafananayo.
Mke / mpenzi mzuri kimwonekano wa nje naturally na yule aliye smart kichwani hawezi kufanya ( 1/3 ) ya matumizi yake kwenye maplastics. Ukiona anatumia muda mwingi kwenye hayo mambo ujue
--- Hajikubali alivyo na hatakaa ajikubali.
--- Hana focus yeyote kwenye maisha huyo.
Kuna msemo unasema " TELL ME YOUR EXPENDITURE AND I'LL TELL WHO YOU ARE."
2) Angalia " nature " ya stori zake.
Mwanamke / Mwanaume ambaye stori zake ni kusengenyana muda wote, kuongelea maisha ya juu bila mpango wowote wa kuyafikia, movie, asiye pitwa na matukio ya kina Sepenga, viwanja ,
Unahitaji huruma za Menyezi Mungu ukioa / kama umeshaoa huyo mwanamke / mwanamume.
Wanasema " KINACHOMTOKA MTU NI SEHEMU TU YA KILICHOPO AKILINI." Kwa maana hiyo
kama anaongea pumba huko kichwani ndo zipo madebe na madebe ya pumba.
Mpime katika story 10 alizokupa, kaongelea jambo gani.? Lina mashiko.?
3) Angalia tamaa zake ziko wapi?
Usipanic akimtamani mwanaume / mwanamke mwingine kando ya wewe mkiwa wote,
lakini jiulize mtu anayemtamani ni wa aina gani.? Yuko smart kichwani.?
Angalia pia na tamaa zake zingine ziko kwenye mambo ya nature gani.?
Wanasema " HUMAN BEHAVIOUR FLOWS FROM THREE MAIN SOURCES : DESIRE, EMOTION AND KNOWLEDGE. "
4) Angalia company yake ni kina nani.?
Angalia huyo mwanamke / mwnamume anaongozana na watu wa namna gani.?
Kama ukishindwa kumsoma yeye ni wa namna gani kwa ku fake akiwa mbele yako, wasome marafiki zake . simple as that. Ana hang na watu gani?
" SHOW ME YOUR FRIENDS AND I TELL YOU WHO YOU ARE ".
Ukishaona company yake ni MABOMU ya machozi yote andaa machozi kijana mkishakuwa
pamoja ndani ya nyumba. Wakiwa ni watu wenye fikra pana, hawana vijitabia vya ajabu ajabu
chukua dodo hilo chini ya mparachichi.
5) Fanya kila njia muibie " diary " kama anayo.
Siri zote za mtu hujificha humu kama ana vijitabia vya kuandika andika.
Wanawake hasa hujisanua humu kuliko hata kwa marafiki zake wa karibu. Hata tabia za marehemu kama hazijulikani husomwa humu diaries. Utakachokikuta humu ndivyo alivyo in 99%.
Achana na mambo ya tracking za simu, usihangaike mno, hii ni njia rahisi sana kumjua mtu. Hata background ya maisha yake utaikuta humu kama huijui.
6) Choose carefully career ya mtu wako.
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Hapa ndipo wengi wananipiga mawe, na kunivurumushia
mijitusi mikubwa mikubwa. Na mimi wala siikimbii ID yangu
Wanasema " MARRY PRETTY WOMEN OR UGLY ONES. SHORT ONES OR TALL ONES, BLONDES OR BRUNETTES. JUST, WHATEVER YOU DO, DON'T MARRY A WOMAN WITH A CAREER WHICH DOESN'T MATCH WITH YOURS".
Somebody's career defined his/her dreams trust me.
NB. Wengi waume kwa wake mnachagua elimu ya kwenye makaratasi kama kigezo sahihi cha kuchagua mwenza. Trust me kwa wengine mnapotea, tena yaweza kuwa majority. Ustaarabu, ndoto za mtu, na tabia zake haziko kwenye vyeti.
OVA.