Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Mkuu rubii kwa namba 1 na 3 naogopa sana kukutana nazo kwenye mahusiana na pindi nizionapo huwa nakimbia ndukii kali sana.


aha haaaa ukifanya magazijuto Hizo zinamaanisha, "kitoe huna chako"!!!
 
Nataman cku zirudi nyuma ningeweza kuachana nae saiv mimba imechomoza ndio imekuwa shida ulivyoviandika vyote hapo vinanigusa
 
Nataman cku zirudi nyuma ningeweza kuachana nae saiv mimba imechomoza ndio imekuwa shida ulivyoviandika vyote hapo vinanigusa


Pole sana ndugu!! Yawezekana bado hujachelewa jaribu au huwezi kuishi bila yeye?
 
Mimi naukubali sana usemi huu "Let love finds you......"
Huwa sihangaiki kabisa,mtu akiniletea pigo hizo nami nakausha tu.
Asante kwa maneno yako ya faraja & hamasa anyway....
 
N

Tatizo wanawake mmekuwa wengi sana sasa mim nina mademu sita na wote nataka kuongea nao usiku lazima nikuambie nataka kulala kumbe naanza kuongea na rebeka nikimaliza rebeka naye namdanganya nataka kulala kumbe naanza kuongea na ashura hivyo hivyo ndiyo maisha yanaenda
Pia hapo umedanganya kuwa wanaume ni wengi sana na wanawake ni wengi sana ni uongo ukweli ni kwamba wanaume tuko wachache wakati wanawake mko wengi sana na ili muwe na furaha lazima mwanaume mmoja amiliki wanawake watatu au wawili kutegemea na kipato chake
Takwimu yako ya chini ya kitovuu Mkuu,..kila mtu na wake babu wee unataka tuu tujione wanawake wanyonge kwenu ili mtuendeshe puta....waaapiii,.equal equal tuu[emoji12] afu ww ndo unasababisha wenzio mtaani wakose Hata wakuwapa hi' wanawake sita wote wann!???....uzinzi tuuu[emoji35]
 
namshukuru mungu hayo hayanikutagi kwa sababu siwekagi kambi kikubwa nipate kilicho nipeleka walau hata mara moja
Hahaa mkuu wewe hupendi kuweka uwekezaji mkubwa!
 
Teh teh...Sasa we kila siku unajibiwa mkatomkato unaendelea na mahusiano na huyo mtu ili iweje?..Kuja kujaza server za jf ama?
Unajitia uchizi kujifanya uelewi hizo signal
 
Mapenzi ya kila sekunde message tu mambo ya msingi hayaendi siwezi kwakweli maana ata nikijaribu kuigiza najua ipo siku nitarudi kwenye mfumo wangu wa kawaida ukishaniletea maigizo ya kila dakika text tu hapo sina kingine zaidi ya kukupuuza
 
Mimi naukubali sana usemi huu "Let love finds you......"
Huwa sihangaiki kabisa,mtu akiniletea pigo hizo nami nakausha tu.
Asante kwa maneno yako ya faraja & hamasa anyway....
Mawazo mazuri, nitakufata bibie Nifah ila usinikatae lakini.
 
E="rubii, post: 15159793, member: 275369"]Pole sana ndugu!! Yawezekana bado hujachelewa jaribu au huwezi kuishi bila yeye?[/QUOTE]
Asante...kwa saiv ntajitesa tu mimba c unajua huwa zinasumbua acpo nitafuta mi ntamtafuta ila nakaribia kushusha matatizo ya
 
Back
Top Bottom