Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

namshukuru mungu hayo hayanikutagi kwa sababu siwekagi kambi kikubwa nipate kilicho nipeleka walau hata mara moja
 
Sikuignore totally Douta..Nikiwa off mood nakuwa mzito kuinitiate maongezi..Ukinitumia msg au kupiga simu ntakujibu ila ntatafuta njia ya kufupisha maongezi ambayo haitakufanya ujisikie vibaya
Aaah hapo sawa, na ni rahisi mtu kuhisi kuwa huyu leo labda yupo off mood. Sio wale kila siku unanijibu short, weeee
 
ukiona dalili kama hizo haitakiwu kuuliza maana utachelewa kufanya yako ww cha mcng n kuangalia wap inatakiwa ukaangukie na co kujidai ww unajua sana kupenda kulko hata ujpendavyo
 
ukiona dalili kama hizo haitakiwu kuuliza maana utachelewa kufanya yako ww cha mcng n kuangalia wap inatakiwa ukaangukie na co kujidai ww unajua sana kupenda kulko hata ujpendavyo

Kabisa yaani maana ukihoji nakupenda hazitaisha matendo ni zerooo siku ya kuja kuzinduka umepoteza mengi
 
Oooh! kwa siku 2 tatu sawa lakini kwanini usiongee na mama watoto akakusaidia kukurudisha kwa hali ya kawaida jamani
Inategemea mpendwa..Sio kila mara ukiwa kwenye mood mbaya mpnz wako ndo anaweza kukurudisha kwenye hali ya kawaida..Sometimes mtu unaamua kufanya vile vitu unavyovipenda ili kujiweka sawa...Mf mwingine akiwa hayuko poa anapendelea kusikiliza muziki au kucheki movies..Sasa muda huo unacheki movie mpnz nae ndo anataka mpige story..Yani dizaini kama ndo anakuongezea mboreko tu
 
Mkuu rubii kwa namba 1 na 3 naogopa sana kukutana nazo kwenye mahusiana na pindi nizionapo huwa nakimbia ndukii kali sana.
 
Aaah hapo sawa, na ni rahisi mtu kuhisi kuwa huyu leo labda yupo off mood. Sio wale kila siku unanijibu short, weeee
Teh teh...Sasa we kila siku unajibiwa mkatomkato unaendelea na mahusiano na huyo mtu ili iweje?..Kuja kujaza server za jf ama?
 
yan utakua umepoteza mda wako wa thaman sana na akishajua jua kua kwa time hio ana shda na ww tena sababu ztakua nying unaweza poteza mpka pesa pia ucpokua makin ko nbola kubaliana na matokeo mapema na kuchukua hatua kabla haujachoka kabsa yan
 
Hahaha daddy kuna muda tunajikutaga hatutaki kusoma alama za nyakati wala majira ya nukta
Teh teh..Hilo ndo tatizo aisee..Ndo mana watu wanalilia deile hapa..Mpaka wanafanya mapenzi yaonekane mabaya..Wakati si wengine yanatuheshimu
 
Back
Top Bottom