Dalili ya mvua ni mawingu

Dalili ya mvua ni mawingu

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Ukiona Mwanamke anaanza kuimba mashairi ya taarabu ndani ya nyumba ujue ni dalili za kukuchoka!, tena anaimba mistari mikali mikali. Yaani kila ukirudi unakutana na mistari mipya.

Wadau mnalionaje hili, kuna mfanyakazi mwenzangu amepatwa na hii hali yupo stressed haelewi kinachoendelea. Kuna mstari mmoja kaniambia sema nimeusahau ila hauleti heshima katika ndoa ama mahusiano.

Naomba mnitajie mistari ile yenye kuudhi nikiiona nitaiweka halafu tuambiane kama inaleta heshima ktk ndoa.

From no where mkeo baada ya kuzoeana sana anakuambia "umedandia treni kwa mbele" bila shaka hz ni dalili za kukuchoka.
 
&umelala uwoo umelala uwoo umelala uwo mtarimbo umelala doorooo&

kwisha habari yako hapo.,,..
 
Mapenzi ya kwa mtogole ni shida tupu...!

Kwani dawa ya ujinga ni nini? Hajui kupiga Ban huyu? Si akodi hata moderator akamuoneshe mfano?

Wanakera hawa wakiendekezwa!
 
Hata wazee wa zamani walisema 'Kuchapiwa ni siri ya ndaniii'😂
 
inategemea...ukimuuzi atafanya ujinga...to every action there is equal and opposite reaction
Mapenzi ya kwa mtogole ni shida tupu...!

Kwani dawa ya ujinga ni nini? Hajui kupiga Ban huyu? Si akodi hata moderator akamuoneshe mfano?

Wanakera hawa wakiendekezwa!
 
inategemea...ukimuuzi atafanya ujinga...to every action there is equal and opposite reaction

NDo afanye ujinga unaoathiri ndoa? kweli? kwani hasara ni ya nani? kwanini awaze kumkomoa mwanaume tu? haoni na yeye akilikoroga anaweza kulinywa na nduguze pia?
 
Acha kujistukia bandugu, jiamin mbona huimbiwi ww!
 
Mkubwa unaniogopesha.
Ushachokwa tayari mara hii?
Hata miaka ya 2030 bado haijafika?
Kulikoni?
 
dawa ni moja tu, ye akitoa maneno kwenye taarabu, we toa kwenye HIPHOP
mf niki m'bishi n kibao chake cha kuitwa michepuko ye anasema 'mpenzi wako akikuita special jua kuna mtumba'

hii nyimbo niliidownload ila virus wameila ha ha ha ha
saa nyingine wanawake mnachangia

mchepuko by nikki mbishi
ha ha ha ha ha
 
Huyo mwanamke utakuwa ulimpata kwenye show ya Msaga Sumu
 
hii nyimbo niliidownload ila virus wameila ha ha ha ha saa nyingine wanawake mnachangia mchepuko by nikki mbishi ha ha ha ha ha
chorus inasematusilaumiwe tu kuchepuka, nimelazimikaooh jogoo kuwika, kwenye kila ovu ,kuna force......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom