Dalili nyingine ya umasikini: "Weka chips za kushiba"

Dalili nyingine ya umasikini: "Weka chips za kushiba"

Usiwasahau wa 1986, tunawasubiri huku kwa watu wazima!
Muda unapotambua kuwa 40s huwezi tena kutoboa
20251229_222307.jpg
 
Utamsikia yuko pembeni anasisitiza "usisahau chombeza kaka" anataka ashibe kabisa kisa kanunua mishikaki ya buku
Ila ndo maisha ya hizi nchi zetu. Kuna nyakati unajikuta umekauka kabisa (na hii haina uhusiano na mtu kuwa mvivu, hili ni suala la kimifumo), mpaka inapelekea mtu kukosa namna.
 
Back
Top Bottom