Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Kupiga kelele kama umemvunja kiuno

Kukumbatia kwa nguvu

Kutoka jasho jembamba puani

Kujamba mfululizo

Kukutukana matusi ... mfano we mwanaume Malaya, wengine husema maneno ya kutishia, ..mf siku nikijua unanisaliti nitakua


Kama hujawahi ambiwa sentence hiyo ya mwisho .. hujawahi mfikisha demu kileleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[We nae umechapia mwanamke akisha kojoa utelezi Kwa kawaida unapotea na ukilazimisha kuendelea unaweza kumchubuaQUOTE="ndandambuli, post: 30613263, member: 441631"]1:Atasema asante au pole.
2:Ataanza kusinzia ghafla
3:Uke utabadilika ghafla(utelezi utazidi)

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
Ni nyakati 2 za kumgundua
1. Wakati wa maandalizi.
Pale unapomuandaa kiufundi na kimahaba unaweza kugundua.

2. Wakati wa shows pia utagundua hilo.

N.B:
Wapo wanaofika kileleni wakati wa maandalizi na wengine hufika wakati wa show.

Baada ya game kumjua huwa ni ngumu kidogo. Hadi uwe mtaalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka hapa wewe na si tujue...

1. Mwanamke aliyefika kileleni...hasahasa...kafika ki ukwelii huwa na Ishara gani baada ya mchezo!?

2. Na yule ambaye unakuwa ni kama umemchafua tu..yani umefanya sufuri..hujamfikishA popote huwa na ishara gani.!?

Samahani lakin. Poleni kwa majonzi
Kwa michango na majibu yanayotolewa humu, mleta uzi nakupa pole. Hapa umekula hasara. Bora tu ufanye mpango wa ku google!
 
Usijali mkuu...maadamu umeleta mada yako hapa, basi ni lazima upate msaada, iko hivi kwa mwanamke aliyefikia mshindo,
kubana sana kwa uke; kama ulikua unaendelea kufanya mapenzi kawaida kisha unaona uke wake unabana sana uume wako au kama ulikua umeweka kidole kisha unaona kidole chako kinabanwa basi ujue amefika kileleni kwani hiyo ni misuli ya uke ambayo hujikunja kipindi hicho
kulegea mwili ghafla; mara nyingi kabla ya kufika kileleni anakua amekukumbatia sana na kukushika lakini inatokea nguvu zote zinamuishia na kisha anatulia na kutofanya jambo lolote tena basi ujue amefika kileleni.
kubadilika kwa tabia ghafla; kama alikua anapiga kelele kipindi chote cha tendo na sasa amekaa kimya au alikua kimya muda wote na sasa anapiga kelele basi ujue kwamba amefika kileleni, baadhi ya wanawake huweza kukuchana na makucha mgongoni akiwa katika hali hii.
kuloana sana uke; kipindi hiki uke huloana sana na kutoa ute wenye mchanganyiko wa rangi nyeupe lakini pia baadhi ya wanawake humwaga maji mengi na kuruka kama bomba la maji..hali hii isikutishe kwani ni moja ya vitu vya kawaida.
hujaribu kuzuia chochote unachofanya; anaweza kukuzuia kuendelea kuingiza uume kwake yani utulie vile vile ulivyo au akakushika mikono yako kwa nguvu sana, au kushikia vidole vyako kama ulikua unatumia vidole vyako kumsisimua kwenye sehemu zake za siri.
kupumua kwa kasi sana; hii hutokea pale anapokua tayari amemaliza kufika kileleni, hupumua kwa kasi sana na baadae huanza kupumua taratibu.kitaalamu mtu huyu akipimwa hukutwa na presha iliyopanda na mapigo ya moyo kua juu sana. hii inaweza kua sababu kwanini baadhi ya watu vifo huwakuta wakati wa ngono.
Karibu sana mkuu, kama hawa kina Hawa wapo humu, wakibisha wafanye kama wanajikuna tu hah hah
 
Mwanamke akimwaga bao la kweli lazima alegee legelege huku K yake ukiisikia ikibinyabinya kwa ndani kama inatafuna kitu kwa sekunde chache kabla hajakwambia chomoa baby nimechoka.
Pia kama ni mtaalamu utajua tu maana dakika moja kabla ya kumwaga hilo bao huwa wana tabia ya kupambana sana kama mgonjwa wa degedege, wengine wanakushika na kukukaza kwa nguvu kama kibaka anaekwapua milioni kisha ghafla hukuachia na kulegea.

Na asilimia kubwa ya hawa viumbe ukiwakojoza sana, wakimaliza mchezo hulala usingizi wa pono/fofofo

Pia wakiachia bao lao lazima uimara wa K ubadilike/inakuwa kama nyama iliyotafunwa kidogo kisha ikatolewa mdomoni.,,,, ni kama mwanaume tu inavyosinyaa

Na asilimia kubwa kama sio 100% ya wanawake pindi wafikapo vyema vileleni mwao, huwa hawapendi K zao ziguswe maana kuna maumivu fulani wanayahisi/walaji wa maembe mabichi wanaelewa zile hisia za meno baada ya kula maembe mengi mabichi.
Kubwa kabisa wapo wale wanaomwaga kama wanaume, ila hawa ni mpaka uone wamekojoa kama mara tatu hivi mfulilizo ndipo hamu zao huisha.

Na mwanamke akifika vizuri kwenye kilele chake ni lazima ujue tu maana huwa mchovu mpaka kesho yake,,, wapo pia ambao wakifika vileleni hutetemeka na kulegea kiasi cha kushtua ambapo kama alikuwa amepiga magoti/chuma mboga ataanguka puuh bila mpangilio.

Dalili kubwa ya mbeleni ni kwamba atakutafuta mwenyewe siku nyingine na atakuwa hakuchuni hovyohivyo. Tena wewe ndio unakuwa furaha yake hata kama una mapungufu mengine mengi.

Mambo haya kama wewe ni mwanaume rijali huwezi kuuliza

Baby Doll ataongezea
Awww.. you are good!
 
Back
Top Bottom