Dalili kuwa mtoto wako anatumika kingono

Aya mambo yanaumiza sana tena sana ndugu wa karibu mara nyingi ndyo wanakuwa wakwanza kuaribu watoto au sehemu za imani hasa mafundisho ya kiimani na tuition za masomo ya shule saivi wababa nao ndyo wamekuwa chanzo cha kuaribu watoto wao ni yote aya yanakuja sababu ya imani za kishirikina pili kuongezeka hadithi za kulana tigo hii imechangia watu wengi kujaribia kwa watoto wadogo na katika vitu ambavyo ukivianza kuviacha ni ngumu sana ukianza kutembea na watu wazima yani mwanzo wa mapenzi yako uliruka rika lako ukaanza na watu wazima kuja kurudia hawa wadogo ni kazi sana ukianza kutembea na watoto hasa wanafunzi wa shule kuja kuacha ni ngumu sana na itakupelekea upate kesi badaye ukianza kula tigo kuja kuacha napo ni Mungu ashushe miujiza yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NINA TAARIFA TOFAUTI KWAKO!

ZAMANI HALI ILIKUWA MBAYA YES!!

Kina MAUMBA NA WENGINE!

BUT HIVI SASA NI WORSE ZAIDI!

MAANA SASA WATOTO HAWAKO SALAMA KWA WAKUBWA WALA WATOTO WENZAO!
Upo sahihi
Sijutaka kusoma hii mada yako
Niliona heading tu nikapita
ILA
Leo jion nineangalia kipindi cha makala
Azam 11..( mambo haya haya ya ulawiti na ubakaji wa watoto husussan wanafunzi primary)
Kata ya Igogo_ Nayamagana hali inatisha
Mtendaji anasema kila week anapata case zaid ya 3!
Baadhi ya watoto wanayofanya hayo wanaongea mambo ya kutisha.
Hali ni mbaya Wazazi tuamke


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ninachojua ni kwamba wazazi tuwe karibu sana na watoto. jambo likibadilika kwake utajua tu. Muhimu ni kutokupuuzia mabadiliko madogo hata yakiwa chanya.
 
Upo sahihi
Sijutaka kusoma hii mada yako
Niliona heading tu nikapita
ILA
Leo jion nineangalia kipindi cha makala
Azam 11..( mambo haya haya ya ulawiti na ubakaji wa watoto husussan wanafunzi primary)
Kata ya Igogo_ Nayamagana hali inatisha
Mtendaji anasema kila week anapata case zaid ya 3!
Baadhi ya watoto wanayofanya hayo wanaongea mambo ya kutisha.
Hali ni mbaya Wazazi tuamke


Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi wenyewe ndio hawa wanaofirana wao kwa wao na kushangilia ulaji wa tiGo???
 
Kiukweli watoto wetu hawako salama sio wa kike sio wa kiume, hali inatisha jamani inahitajika nguvu ya ziada mnooo ,leo kuna mama mmoja anatuuziaga ndizi hapa kazini, alipotea almost mwezi mzima leo kaja tukamuuliza vp huonekani anasema mtoto wake wa 5 yrs amebakwa na baba mtu mzima tena mwenye familia na watoto juu.anaongea hadi analia, mtoto kaharibiwa hafai, niliwaza, nkajikuta nalia ,unajiuliza baba mtu mzima anabaka mtoto mdogo anapata hamu gani, ni wap yule mtoto anaweza mtamanisha,yaani ahaa basi tu
huyo baba bado anapumua?wallah wangeokota kiroba koko
 
Hata kwenye nyumba za ibada hakuaminiki
YAH NI KWELI, KUNA IDADI KUBWA YA WAZUNGU WALIOJITOKEZA AMBAO KWA SASA NI WATU WAZIMA HUKO MAMBELE, WALIDAI WAMEFANYIWA SANAA UNYAMA KINYUME NA MAUMBILE WAKIWA WATOTO KTK NYUMBA ZAO ZA IBADDA !!!! INAHUZUNISHA SANA.
 
View attachment 1048145
WATOTO WANATUMIKA KINGONO!
Inaumiza lakini ndio uhalisia! sio kitu kinapendeza machoni wala akili lakini ndio ukweli!

Watoto wetu hawako salama!

Hawako salama sio kwa watu tunaoamini sio salama.

Watoto hawako salama kwa watu tunaoamini wako salama!



Kuna vitu tu lazima kama jamii tuambiane na tuinue sauti kuvizungumza!

Unyanyasaji kingono miongoni mwa watoto ni jambo ambalo lipo, linafanyika, linatendeka under our very noses!

Ni vile tu hatuamini na tunafikiri wapo salama! ni vile tu tunaamini sio kitu kinaweza kutokea kwa wanetu! ni vile tu tunaamini wapo watoto aina fulani wa kufanyiwa hayo!



Sio kweli!

Sio kweli!

Sio kweli!


Leo hebu tushirikishane dalili ambazo zinaweza kuwa taarifa kuwa mtoto anatumika kingono.



Unyanyasaji kingono umekuwa ni sehemu ya historia za maisha ya baadhi yetu.



Matukio yote unayokumbuka ulifanyiwa ukiwa mdogo ambayo leo ukiwa mtu mzima

unaweza kuyahusisha na matukio ya kingono na hukusema ndiyo hayo yanaweza kuwa yanamtokea mtoto sasa na hasemi
.



nyingine ni

  1. Mtoto anapata shida kukaa au kutembea (2 - 10yrs)
  2. Anaogopa kupita kiasi baadhi ya watu, mahali au vitu (0-5yrs)
  3. Anapenda kujishika sehemu za siri kiasi cha kujisahau mpk kulala akiwa anajishika.
  4. Anakaa chooni muda mrefu au kuhitaji kujisaidia mara kwa mara.(0-5yrs)
  5. Anaweweseka usiku (0-5yrs)
  6. Anakataa/kusumbua kula au kutapika bila ugonjwa mahsusi. (0-5yrs)
  7. Analia sana (0-3yrs )
  8. Anaona aibu na kujitenga (umri wote)
  9. Anashindwa kuzuia haja kubwa (4-7yrs)
  10. Anakuwa mkimya isivyo kawaida (umri wa balehe)
  11. Anashuka kielimu (6-17)
  12. Anakuwa na kiburi, maamuzi ya kukinzana na maagizo( umri wa balehe)
  13. Mimba (11-17)
  14. Majaribio ya kujiua (8- 17)
  15. Anakimbia nyumbani mara kwa mara (8-17)
  16. Msongo wa mawazo (8-17)
  17. Anakataa kushiriki shughuli za nyumbani, za shule, za kiroho. (7-17)




Ongeza zingine na tushauriane cha kufanya!

Hali sio nzuri!

Sio nzuri kabisa!

cc sema tanzania
Hivi ni kusema kuwa Hawa wanaofanya vitendo hivyo
- Hawawezi kutongoza?
- Hawana Wasichana wa kupunguza haja zao
- Mbaya zaidi mtoto wa mwaka 1 - 9 anakupa msisimko gani?

Zaidi unakuwa unampa maumivu makali mtoto wa watu na kumpa majeraha ya moyo na mwisho wa siku asiweze kukusahau kwa kitendo hicho ambacho ulimfanyia hata akija kukua

Na madhara yake ndipo tunakumbwa na dimbwi kubwa la Mashoga na Wasichana wa umri mdogo wanaojiuza maana tayari ameshazoea kuingiliwa kimwili toka wapo wadogo na kufanya sehemu zao kusisimka mapema zaidi

Wazazi tuwe makini kuwaangalia watoto wetu kwa ukaribu zaidi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli watoto wetu hawako salama sio wa kike sio wa kiume, hali inatisha jamani inahitajika nguvu ya ziada mnooo ,leo kuna mama mmoja anatuuziaga ndizi hapa kazini, alipotea almost mwezi mzima leo kaja tukamuuliza vp huonekani anasema mtoto wake wa 5 yrs amebakwa na baba mtu mzima tena mwenye familia na watoto juu.anaongea hadi analia, mtoto kaharibiwa hafai, niliwaza, nkajikuta nalia ,unajiuliza baba mtu mzima anabaka mtoto mdogo anapata hamu gani, ni wap yule mtoto anaweza mtamanisha,yaani ahaa basi tu


mmmh wengine ni mambo ya kishetani tu mtoto wa miaka 5 hivi anavishawiwishi gani mungu tusaidie sisi Wana wako
 
View attachment 1048145
WATOTO WANATUMIKA KINGONO!
Inaumiza lakini ndio uhalisia! sio kitu kinapendeza machoni wala akili lakini ndio ukweli!

Watoto wetu hawako salama!

Hawako salama sio kwa watu tunaoamini sio salama.

Watoto hawako salama kwa watu tunaoamini wako salama!



Kuna vitu tu lazima kama jamii tuambiane na tuinue sauti kuvizungumza!

Unyanyasaji kingono miongoni mwa watoto ni jambo ambalo lipo, linafanyika, linatendeka under our very noses!

Ni vile tu hatuamini na tunafikiri wapo salama! ni vile tu tunaamini sio kitu kinaweza kutokea kwa wanetu! ni vile tu tunaamini wapo watoto aina fulani wa kufanyiwa hayo!



Sio kweli!

Sio kweli!

Sio kweli!


Leo hebu tushirikishane dalili ambazo zinaweza kuwa taarifa kuwa mtoto anatumika kingono.



Unyanyasaji kingono umekuwa ni sehemu ya historia za maisha ya baadhi yetu.



Matukio yote unayokumbuka ulifanyiwa ukiwa mdogo ambayo leo ukiwa mtu mzima

unaweza kuyahusisha na matukio ya kingono na hukusema ndiyo hayo yanaweza kuwa yanamtokea mtoto sasa na hasemi
.



nyingine ni

  1. Mtoto anapata shida kukaa au kutembea (2 - 10yrs)
  2. Anaogopa kupita kiasi baadhi ya watu, mahali au vitu (0-5yrs)
  3. Anapenda kujishika sehemu za siri kiasi cha kujisahau mpk kulala akiwa anajishika.
  4. Anakaa chooni muda mrefu au kuhitaji kujisaidia mara kwa mara.(0-5yrs)
  5. Anaweweseka usiku (0-5yrs)
  6. Anakataa/kusumbua kula au kutapika bila ugonjwa mahsusi. (0-5yrs)
  7. Analia sana (0-3yrs )
  8. Anaona aibu na kujitenga (umri wote)
  9. Anashindwa kuzuia haja kubwa (4-7yrs)
  10. Anakuwa mkimya isivyo kawaida (umri wa balehe)
  11. Anashuka kielimu (6-17)
  12. Anakuwa na kiburi, maamuzi ya kukinzana na maagizo( umri wa balehe)
  13. Mimba (11-17)
  14. Majaribio ya kujiua (8- 17)
  15. Anakimbia nyumbani mara kwa mara (8-17)
  16. Msongo wa mawazo (8-17)
  17. Anakataa kushiriki shughuli za nyumbani, za shule, za kiroho. (7-17)




Ongeza zingine na tushauriane cha kufanya!

Hali sio nzuri!

Sio nzuri kabisa!

cc sema tanzania
Deep sana👏🏿
 
Ndio maana huwa siwafichi kitu wadogo zangu na watoto ninaoishi nao,huwa nawaambia live Mambo yote ya ulimwengu wa Sasa,mtu akikuambia hivi,akikufanya hivi,akileta dalili izi n.k msikae kimya mniambie na najitahidi kuhakikisha mtu akiwa nje anakuwa na sababu maalum na unajua Yuko wapi,mgeni akija Bora alale yeye pazuri wewe lala chumba kingine hata kwenye mkeka na nikiona Mambo siyaelew sioni aibu,unampeleka mputa mputa

Maana hata ukificha wewe mtaan hayafichiki

Malezi ya Sasa mpaka uwe baba au mama kauzu Kama dagaa.

Usisubiri kujuta baadae.Dunia tuliyonayo mashetan yameongezeka.

Wengi aibu ya kuongea na mtoto mambo ambayo unahisi hajayajua Bado ndio inaponza baadae unakuta kumbe yeye ndio mjuzi kuliko wewe

Majuto ni mjukuu
 
Ndio maana huwa siwafichi kitu wadogo zangu na watoto ninaoishi nao,huwa nawaambia live Mambo yote ya ulimwengu wa Sasa,mtu akikuambia hivi,akikufanya hivi,akileta dalili izi n.k msikae kimya mniambie na najitahidi kuhakikisha mtu akiwa nje anakuwa na sababu maalum na unajua Yuko wapi,mgeni akija Bora alale yeye pazuri wewe lala chumba kingine hata kwenye mkeka na nikiona Mambo siyaelew sioni aibu,unampeleka mputa mputa

Maana hata ukificha wewe mtaan hayafichiki

Malezi ya Sasa mpaka uwe baba au mama kauzu Kama dagaa.

Usisubiri kujuta baadae.Dunia tuliyonayo mashetan yameongezeka.

Wengi aibu ya kuongea na mtoto mambo ambayo unahisi hajayajua Bado ndio inaponza baadae unakuta kumbe yeye ndio mjuzi kuliko wewe

Majuto ni mjukuu
Hakika mkuu!
 
Back
Top Bottom