Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Poammmmhh ilo nalo neno!
Nimependa nimeona jina la mke wangu.shoutout to my wife n my sonMapenzi,,
Nimekuelewa mdau7. Hata ukimtafuta anakueleza matatizo yake ili uyatatue na yenye ghalama hivyo usijiangaishe kujitutumua utaumia
Yeah manMpaka uyaone yote hayo kwani wewe hujiongezi tu.
Akifika dalili ya 3 tu ulishakuwa na mwingine.
Yaana ran duniaMapenzi,,
Kwa io wapo kipesa zaidSitaki mwanamke anipende maana ni wanafiki,mi nataka kula papuch nisepe,kupenda akawapende ndugu zake,
kwanza nani alikwambia mwanamke ana upendo? Nehi nehi kabisa.
Mmmh kuna kaukweli aiseee......Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Hivyo vyote ni lazima kama huna pesa.Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia