Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda

Nickson Swai

JF-Expert Member
Sep 5, 2018
548
474
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo

1.Anavunja appointment muda wowote

2.Hajali uwepo wako

3.Hakutafuti mpaka wewe umtafute

4.Anacheka kwa dharau

5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake

6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia.
 
7. Hata ukimtafuta anakueleza matatizo yake ili uyatatue na yenye ghaRama hivyo usijiangaishe kujitutumua utaumia
 
Mpaka uyaone yote hayo kwani wewe hujiongezi tu.
Akifika dalili ya 3 tu ulishakuwa na mwingine.
 
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo

1.Anavunja appointment muda wowote

2.Hajali uepo wako

3.hakutafuti mpaka ww umtafute

4.Anacheka kwa dharau

5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake

6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Mmmh kuna kaukweli aiseee......
 
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo

1.Anavunja appointment muda wowote

2.Hajali uepo wako

3.hakutafuti mpaka ww umtafute

4.Anacheka kwa dharau

5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake

6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Hivyo vyote ni lazima kama huna pesa.
Hawezi kuvunja appointment kuhofia kukosa pesa.
Anajali uwepo wako apate pesa.
Kila wakati anakutafuta hadi kero.
Anajichekesha kwako.
Hukutangazi kwa rafiki zake kuogopa kupinduliwa.
SMS moja anajibu kumi.

Tafuta pesa, basi.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom