Dalili 10 za mwanamke msaliti

Dalili 10 za mwanamke msaliti

Eti mwanaume anamuwakia mkewe kabisa eti sitaki uguse simu yangu ,
Hata ikiita namna gani iache hata ikipata moto ikibidi iungue,

Mke atakukubalia mdomoni lakini moyoni atajua lile unalojaribu kumficha,
Mwingine anaenda mbali kwa kujipa ahueni asipate jakamoyo kwa yeye kupata wa kumriwadha!

Halafu mara nyingi kwenye ndoa mwanamke wa hivyo yeye ndo anamuanza jamaa ambae mfano alimtakaga wakiwa chuo akamkataa,
Mdada wa watu baada ya kuolewa mwanaume wake anakuwa na njia za mashaka,
Mdada mawazo yanamjia jamaa ambae alimkataaga chuo, anaanza mawasiliano ya karibu baada ya hapo kifuatacho ITV kila mtu anaweza kutabiri
 
Eti mwanaume anamuwakia mkewe kabisa eti sitaki uguse simu yangu ,
Hata ikiita namna gani iache hata ikipata moto ikibidi iungue,

Mke atakukubalia mdomoni lakini moyoni atajua lile unalojaribu kumficha,
Mwingine anaenda mbali kwa kujipa ahueni asipate jakamoyo kwa yeye kupata wa kumriwadha!

Halafu mara nyingi kwenye ndoa mwanamke wa hivyo yeye ndo anamuanza jamaa ambae mfano alimtakaga wakiwa chuo akamkataa,
Mdada wa watu baada ya kuolewa mwanaume wake anakuwa na njia za mashaka,
Mdada mawazo yanamjia jamaa ambae alimkataaga chuo, anaanza mawasiliano ya karibu baada ya hapo kifuatacho ITV kila mtu anaweza kutabiri
 
Eti mwanaume anamuwakia mkewe kabisa eti sitaki uguse simu yangu ,
Hata ikiita namna gani iache hata ikipata moto ikibidi iungue,

Mke atakukubalia mdomoni lakini moyoni atajua lile unalojaribu kumficha,
Mwingine anaenda mbali kwa kujipa ahueni asipate jakamoyo kwa yeye kupata wa kumriwadha!

Halafu mara nyingi kwenye ndoa mwanamke wa hivyo yeye ndo anamuanza jamaa ambae mfano alimtakaga wakiwa chuo akamkataa,
Mdada wa watu baada ya kuolewa mwanaume wake anakuwa na njia za mashaka,
Mdada mawazo yanamjia jamaa ambae alimkataaga chuo, anaanza mawasiliano ya karibu baada ya hapo kifuatacho ITV kila mtu anaweza kutabiri
 
Eti mwanaume anamuwakia mkewe kabisa eti sitaki uguse simu yangu ,
Hata ikiita namna gani iache hata ikipata moto ikibidi iungue,

Mke atakukubalia mdomoni lakini moyoni atajua lile unalojaribu kumficha,
Mwingine anaenda mbali kwa kujipa ahueni asipate jakamoyo kwa yeye kupata wa kumriwadha!

Halafu mara nyingi kwenye ndoa mwanamke wa hivyo yeye ndo anamuanza jamaa ambae mfano alimtakaga wakiwa chuo akamkataa,
Mdada wa watu baada ya kuolewa mwanaume wake anakuwa na njia za mashaka,
Mdada mawazo yanamjia jamaa ambae alimkataaga chuo, anaanza mawasiliano ya karibu baada ya hapo kifuatacho ITV kila mtu anaweza kutabiri
Toa ujinga wako hapa lofa ww
Usiguse simu yangu tena nitakutindua kama Vp na ww chepuka
Tulikutana ukubwan tafadhali tusisumbuane
 
Samahani naona ujumbe umejirudia jirua nazani kulikuwa na kosa la kiufundi
 
Ungemla tigo angetulia huyo, kuna brother wangu alipata kuniambia mwanamke wa hivyo hawezi kutulia hata umpige paipu kiasi gani, kwani kweli nyuma kunakuwa kunawasha, dawa yake ilikuwa umtindue na nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sio suruhisho la kudumu.

Tulishapita huko kote tatizo liko pale pale.
Tuendelee kuvumiliana tu
 
Ukiona dalili saba kati ya hizo zimehusika kwa mwanamke wako acha kupoteza muda kufanya uchunguzi badala yake fanya maamuzi kusuka au kunyoa
 
Toa ujinga wako hapa lofa ww
Usiguse simu yangu tena nitakutindua kama Vp na ww chepuka
Tulikutana ukubwan tafadhali tusisumbuane



Tulia dawa ipate kuingia vizuri ili yamkini yaweza kukusaidia kupona
 
Unafanya Kazi bure tuu na dawa yako
Kuchepuka siachi ng'oo
Ukitaka ondoka au na ww chepuka[/QUOTE



Mleta mada na wapenzi wasomaji wengine nazani mmeanza kuona chanzo cha kimojawapo cha wanawake kuchepuka ni kipi hususa kwa wale walioko kwenye ndoa!

Ndo maana nawambiaga watu “mapemzi yapo Ulaya, hapa bongo tunaigiza kupendana lakini sio uhalisia kabisa!

Maana nzima ya kumpenda mtu nazani haijaeleweka vizuri miongoni mwa jamii zetu!

Wenye ndoa halisi ni wachache sana ktk jamii zetu!

Moyo umeumbwa na kuwekewa nafasi ya mtu mmoja tu kuzidi hapo ni maigizo!
 
Unafanya Kazi bure tuu na dawa yako
Kuchepuka siachi ng'oo
Ukitaka ondoka au na ww chepuka

Inabidi tujifunze jinsi ya kuanzisha na kutunza mahusiano!
Kujua faida za kujitunza na kutulia na hasara za kutotulia ambazo mojawapo ni magonjwa, kusambaratika kwa familia na laana Yani kutofanikiwa kwenye mambo mengine!
 
Inabidi tujifunze jinsi ya kuanzisha na kutunza mahusiano!
Kujua faida za kujitunza na kutulia na hasara za kutotulia ambazo mojawapo ni magonjwa, kusambaratika kwa familia na laana Yani kutofanikiwa kwenye mambo mengine!
Ukinipangia ratiba ya kugegeda unafikir ntaacha kuchepuka siwez vumilia nyege na ww upo unaninyima
 
Kaka utaumiza kuchwa tuu....mtu mzima na anatembea na mgodi wake katikati ya mapaja unategemea mcbimbaji uwe mwenyewe....hahahbaha
 
Ukinipangia ratiba ya kugegeda unafikir ntaacha kuchepuka siwez vumilia nyege na ww upo unaninyima

Na mpaka nikunyime itakuwa kuna mahala hujawajibuka ipasavyo!
Au umekosa kuwa na kiasi!

Chakula chafaa kuliwa kwa kiasi kiafya kuzidi kiasi ama mwingine atakinai au kuvimbiwa na hicho chakula!
Halafu ulafi ni dhambi!
Ndo maana mmeagizwa na Mungu kuishi na mke kwa AKILI na siyo amri, maguvu , ukali, maombi n.k
 
Ni
Habari Wadau...
Ni muda mrefu sasa sijachangia humu ndani, majukumu yamenifanya niwe nasoma thread za wenzangu tu.. Ila leo acha niwanasue baadhi ya vijana wanaoelemewa na mizigo mikubwa ya wasaliti bila kujua.

Dalili zifuatazo ni dalili kuu kuwa mwanamke uliyenaye si mwaminifu.

1. Line za simu zaidi ya moja za mtandao mmoja.
Mwanamke mwenye simu iwe moja au mbili, kisha akawa na SIM cards zaidi ya moja za mtandao mmoja, huyo ni MSALITI.
Mfano ana line mbili za tigo, au voda, au airtel, nk.
Ni kawaida ya wanawake wasaliti kutotaka kuwagonganisha wanaume anaotoka nao, hivyo hii mbinu ya line huwasaidia sana.

2. Kukupenda kulikopitiliza.
Hapa nisieleweke vibaya, mwanamke anaweza kukupenda mapenzi ya dhati tu, ila unapaswa uyachunguze. Ukiona mwanamke amewekeza upendo mwingi sana, anajifanya kukujali sana, usibweteke kuwa unapendwa. Hii inaweza kuwa silaha ya kujilinda na madudu yake nyuma ya pazia. Fanya uchunguzi na sio kujisifu kwa wanaume wenzio kuwa unapendwa.

3. Simu kukatwa ghafla katika maongezi.
Kama uko mbali na mpenzi wako, halafu ana kawaida ya kukata simu ghafla kila mara muongeapo kwenye simu, na pengine baada ya hapo akawa hapokei na baadae kukupa visingizio visivyo vya hapa na pale, fanya uchunguzi. Hii ni dalili ya usaliti.
NASISITIZA...Kama simu inakatwakatwa mara kwa mara muongeapo, basi fanya uchunguzi, hii ni dalili ya usaliti.

4. Anakutoa kasoro nyingi sana kila siku.
Mwanamke unapokuwa naye kimapenzi, huwa anaona hakuna mwanaume kama wewe duniani. Lakini unapoanza kuona anatoa kasoro kwa kila ufanyalo, kaa ukijua kuna mtu best zaidi yako ameshakupiku. Fanya uchunguzi!!. Mfano "Hiyo singled veepee?", " Mbona shati kola chafu?", "Leo umevaaje, mbona hujamatch?", "Hiyo simu mbayaa, si ununue nyinginee??" Nk.

5. Anajibu 'very short'
Sio siri bana, wanawake wanapenda sana kuchat na wanaume zao, haswa hawa wasichana wa kidigital. Mwanamke anayejibu "ok", " poa", "sawa", " vizuri" kwa kila swali umuulizalo bila kurudisha swali kwako, huyo ni muongo. Yupo mtu anayemjibu kwa kirefu zaidi. Kuwa makini sana na fanya uchunguzi!!.

6. Anadanganya mbele yako.
Muogope sana mwanamke anayeweza kumwambia uongo mtu mwingine mbele yako. Jua kuwa wewe anakudanganya zaidi ya hivyo. Huyo ni msaliti tu hakuna namna nyingine.

7. Anakwepa sana kukutambulisha kwa rafiki/ndugu zake.
Hili nalo ni jipu, ukiona mwanamke anakwepa sana kukutambulisha kwa rafiki/ndugu zake, jua huyo ameshawatambulisha wengi sana huko. Wewe utamfanya aonekane malaya/hana maana. Chukua tahadhari.!!

8. Ukijiangalia huoni sababu ya yeye kukuganda.
Nikwambie kitu, hakuna mwanamke yeyote duniani ambaye ameumbwa kuwa na mwanaume 'for nothing', NEVER. Kama uko na mwanamke unahisi si wa level yako, na anakupenda sana, pengine anakuhonga wewe huna msaada wowote kwake, huyo yupo hapo kwako kwa 'kazi maalum'. Yupo anayemhudumia. Yupo anayemthamini.. Huenda ukawa wewe ndo unayependwa sana, lakini nakuhakikishia kuwa HAUKO PEKE YAKO.

9. Anajiamini sana katika mambo yake.
Sometimes unamuona kama hahofii sana kukupoteza. Hahofii matokeo mabaya ya jambo mnalotaka kulifanya, hahofii chochote juu yako. Anakuona wewe ni wake tu. Huyu ana mambo mengi sana. Mchunguze!!.

10. Namba nyingi kwenye simu yake 'zimeseviwa' kwa majina ya kike.
Kuwa makini sana katika hili. Kama kila namba inayopiga imeandika 'Cathe, au Joyce, Aisha, Mariam, Sophy, Zai, nk". Kuwa makini sana hapa. Miongoni mwa hayo majina wengine ni wanaume. Fanya uchunguzi. Na pengine huenda ukabahatika kusoma sms kutoka kwa "Joyce" akilalamika kwa nini hapokei simu zake, upofu wa mapenzi ukakufanya uendelee kuamini huyo ni mwanamke mwenzie.. Si kweli. Wanawake huwa hawabembelezani kiasi hicho na wala hawapigiani simu mara nyingi hivyo. Kuwa makini.

Zipo dalili nyingine nyingi. Lakini kwa sasa zielewe na uzifanyie kazi hizi. Kwa hakika utanishukuru baadae.
Nishakushukuru tayar maana nishachukua maamuz,hyo namba tisa n kwel keshanifanyia ila kubwa zaid n pale amekuja geto anamtumia jmaaa pesa ile wanaongea akawa anaongea saut ya chin jamaa kamuuliza mbona unaongea saut ya chin sanaa,ile kumuuliza ni nan mara anambie n mfanyabiashara mwenzake amemtumia hela ya usafir wakat hajawahi nambia kuwa anafanya biashara nliamua kujiongeza tu ma kusema hapa sina changu xo nkapiga chini
 
Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.

cocastic bby wangu usiwe hivi nitaishia kukuchoma Kwa mkaa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom