1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
we ni customer care bila shakaNina laini za voda 4,tigo 2,halotel 3,airtel 1,zantel 1 na ttcl 1 ila cha ajabu simu zangu hazina password na sina mchepuko. Je niko kundi gani au hii ni dalili ya nini?

