Dalili 10 za mwanamke msaliti

Dalili 10 za mwanamke msaliti

Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
Alooooo ! Kaka hiyo sms ingekuchanganya kweli. sms ingemchanganya mwanaume yoyote
 
Nina laini za voda 4,tigo 2,halotel 3,airtel 1,zantel 1 na ttcl 1 ila cha ajabu simu zangu hazina password na sina mchepuko. Je niko kundi gani au hii ni dalili ya nini?
Madam line zote za nn hizo? Au usalama wa taifa ww.
And tutajuaje kama huna mchepuko?
 
Mm nilikuwa na huyo mwenye namba 100. Kila mtandao yupo. Kila mtandao .kila nikimuuliza kwann una line nyingi na hauna kazi ..akawa ananipa visababu vya uwongo.
Nikawa napotezea, siku nikampiga ziara ya kushtukiza aisee.. kila line ina mpenz wake. Na simu niliyomnunulia ndio hiyo simu anachat nao. Nilimuonyesha tu kuwa nimejua alaf nikamuacha.

Mwenz wa tatu huu anapiga simu kuomba msaha. Kila siku sms za msaha haziishi.
 
Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
Pole sana kwa hayo masahibu
 
Mkianza kujadili dalili za mwanaume msaliti mniite nije kuwa mpenzi msomaji!
 
Ukiona kun namba inayompigia kila siku alafu haisaviwi kwa jina; anza kushtuka.

Katika vitu siwezi kuvumilia kuwa na mwanamke. Ni usaliti na dalili zozote za usaliti nitazifuatilia.
Nikigundua ukweli anatoka naye siyo hadi niwafumanie yaani ni kutemana fasta.
 
Ndo maana nawashauri wanaume, tusishindane na hivi viumbe... after all vipo vingi..hata 'ukikaze' namna gani kikiamua kutotulia kitatoka tu.
Kweli kabisa.
Hakuna haja ya kushindana nao. Ukiona haelekei piga chini tu wengine wana nyota ya kutangatanga hapa duniani.
 
Ukiona kun namba inayompigia kila siku alafu haisaviwi kwa jina; anza kushtuka.

Katika vitu siwezi kuvumilia kuwa na mwanamke. Ni usaliti na dalili zozote za usaliti nitazifuatilia.
Nikigundua ukweli anatoka naye siyo hadi niwafumanie yaani ni kutemana fasta.
Point

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom