Dalili 10 za mwanamke msaliti

Dalili 10 za mwanamke msaliti

Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
HALAFU MNATUAM,BIA ETI TUPENDE MADUU HAWA ETI UMPATE TU UONE..AISEE BORA NIENDELEZE TU KUCHAPA KUOA SIJUI LINI BAADAE SANA...
 
Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
NINI KILIENDELEA BAADAE MKUU....ULIFANYAJE KESHO YAKE NA SIKU ZILIZOFUATA
 
Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
Ungemla tigo angetulia huyo, kuna brother wangu alipata kuniambia mwanamke wa hivyo hawezi kutulia hata umpige paipu kiasi gani, kwani kweli nyuma kunakuwa kunawasha, dawa yake ilikuwa umtindue na nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee daaah umegusa mule mule....hayo maswala ya demu kutojali hata kukupoteza na kupenda kukukosoa bila kupambana kukurekebisha
 
Namba 5 mbona ni yangu kabisa..unataka kuniharibia ndoa yangu
 
Hahaaa it’s good to see vidume vikiwa vinalia sio kila siku wanawake tuuu 😊😊😊😊💪
 
Pale ambapo mwanaume ndiye anaanza kusema kuwa kila mtu asiguse simu ya mwenzie,

Hapo mwanamke mwerevu anakukubalia lakini akili kumkichwa
Mtu huhitaji kutaka kujiridhirisha kuwa mwenza wako na cheat pale ambapo hataki uguse simu yake when other things remain constant!

Mwanamke anakukubalia mwanaume kuwa asiguse simu yako lakini mwanamke mwingine swala hilo litampa kufikiria zaidi,
Kwanini umkatarie kushika simu yako?

Kuna nini unakwepa asijue?
 
Wanaume mnachotakiwa kujua mwanamke ulomuoa ni mtu mzima mwenzio na siyo mtoto mdogo wa chekechea
 
Eti mwanaume anamuwakia mkewe kabisa eti sitaki uguse simu yangu ,
Hata ikiita namna gani iache hata ikipata moto ikibidi iungue,

Mke atakukubalia mdomoni lakini moyoni atajua lile unalojaribu kumficha,
Mwingine anaenda mbali kwa kujipa ahueni asipate jakamoyo kwa yeye kupata wa kumriwadha!

Halafu mara nyingi kwenye ndoa mwanamke wa hivyo yeye ndo anamuanza jamaa ambae mfano alimtakaga wakiwa chuo akamkataa,
Mdada wa watu baada ya kuolewa mwanaume wake anakuwa na njia za mashaka,
Mdada mawazo yanamjia jamaa ambae alimkataaga chuo, anaanza mawasiliano ya karibu baada ya hapo kifuatacho ITV kila mtu anaweza kutabiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom