Nataka kufanya kazi ya dalali wa viwanja, nyumba, vitu kama baiskeli, gari, pikipiki, vifaa vya nyumbani nk.
Naomba kufahamishwa taratibu za kufuatwa za kiserikali na gharama zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.