Hakuna watu matapeli kama madalali ona hapa

Hakuna watu matapeli kama madalali ona hapa

bikira latifah

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
836
Reaction score
2,805
Dalali hana tofauti na askari polisi wote ni matapeli na hata ukiwa karibu nae au ni ndugu yako kuwa makini kukugeuka ni dk 1

Dalali unamuita kuangalia nyumba anakuuliza kodi sh ngapi nikuletee mteja we unamwanbia ni sh 300,000 kwa mwezi yeye anakuambia baba tulia hapa nakuletea mteja wa laki 6 wapo angalia hiyo post ya dalali tapeli wa kinondoni je hiyo nyumba ina thamani ya laki 6 kwa mwezi mwananyamala?


View: https://www.instagram.com/p/DaaY-0VsI5t/?igsh=MTR4M3YyODNmb2Rpdg==
 
Ww umejuaje hiyo nyumba n 300k.?

Anyway, mm mwnyw Niliwah kutaka nyumba ya 80k nikapelekwa mahali, hiyo nyumba hata 40k sitoi 😂
 
Back
Top Bottom