Dalali wa uhamisho wa walimu

Eng Saimon

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
351
311
Natumai mu wazima wana jamii wenzangu; Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia uwepo wa madalali ambao wana uwezo wa kusimamia na kufanikisha uhamisho wa watumishi wa umma katika maeneo mengi ya miji hapa nchini. Maranyingi madalali hawa si watumishi wa TAMISEMI ila ni watu mashughuli wenye kufahamiana na waandamizi/watendaji wa sekta mbalimbali za utumishi wa umma.
Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya upatikanaji wa hawa watu anijuze tafadhari.Lengo langu ni kufanikisha uhamisho wa mwalimu wa S/Msingi toka Dodoma kwenda Dar.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano wako.
 
Natumai mu wazima wana jamii wenzangu; Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia uwepo wa madalali ambao wana uwezo wa kusimamia na kufanikisha uhamisho wa watumishi wa umma katika maeneo mengi ya miji hapa nchini. Maranyingi madalali hawa si watumishi wa TAMISEMI ila ni watu mashughuli wenye kufahamiana na waandamizi/watendaji wa sekta mbalimbali za utumishi wa umma.
Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya upatikanaji wa hawa watu anijuze tafadhari.Lengo langu ni kufanikisha uhamisho wa mwalimu wa S/Msingi toka Dodoma kwenda Dar.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano wako.

samahani mkuu ningekusaidia ila naona unatafuta habari tu kujua watu wanaishije mjini.elimu ya upelelezi inahitajika
 
Natumai mu wazima wana jamii wenzangu; Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia uwepo wa madalali ambao wana uwezo wa kusimamia na kufanikisha uhamisho wa watumishi wa umma katika maeneo mengi ya miji hapa nchini. Maranyingi madalali hawa si watumishi wa TAMISEMI ila ni watu mashughuli wenye kufahamiana na waandamizi/watendaji wa sekta mbalimbali za utumishi wa umma.
Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya upatikanaji wa hawa watu anijuze tafadhari.Lengo langu ni kufanikisha uhamisho wa mwalimu wa S/Msingi toka Dodoma kwenda Dar.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano wako.

Huyo mwalimu ni mke wako? Kama ni mke wako mashariti utayaweza?
 
Natumai mu wazima wana jamii wenzangu; Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada:
Nimekuwa nikisikia uwepo wa madalali ambao wana uwezo wa kusimamia na kufanikisha uhamisho wa watumishi wa umma katika maeneo mengi ya miji hapa nchini. Maranyingi madalali hawa si watumishi wa TAMISEMI ila ni watu mashughuli wenye kufahamiana na waandamizi/watendaji wa sekta mbalimbali za utumishi wa umma.
Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya upatikanaji wa hawa watu anijuze tafadhari.Lengo langu ni kufanikisha uhamisho wa mwalimu wa S/Msingi toka Dodoma kwenda Dar.Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano wako.
Huitaji kuwa na dalali ili kumuhamisha mwalimu. Fanya yafuatayo: Amwandike Mkurugenzi wa mojawo ya Manispaa za Mkoa wa Dar es Salaam kupitia kwa mwalimu mkuu/ mkuu wake wa shule, Afisaelimu na Mkurugenzi (DED) kuomba nafasi hiku akieleza sababu za kuomba uhamisho huo. Kwa kuwa kuna waombaji wengi otabidi akubali kusubiri hadi nafasi ikipatikana. Akijibiwa, itabidi aandike OWM - TAMISEMI kuomba kibali cha kuhama. OWM- TAMISEMI haina kipingamizi katika kumpa uhamisho mwalimu kama mwajiri wake (DED) amekubali mwalimu huyo ahame na kule anakotaka kuhamia wamekubali kumpokea. Zaidi ya hapo ni majungu tu
 
Huitaji kuwa na dalali ili kumuhamisha mwalimu. Fanya yafuatayo: Amwandike Mkurugenzi wa mojawo ya Manispaa za Mkoa wa Dar es Salaam kupitia kwa mwalimu mkuu/ mkuu wake wa shule, Afisaelimu na Mkurugenzi (DED) kuomba nafasi hiku akieleza sababu za kuomba uhamisho huo. Kwa kuwa kuna waombaji wengi otabidi akubali kusubiri hadi nafasi ikipatikana. Akijibiwa, itabidi aandike OWM - TAMISEMI kuomba kibali cha kuhama. OWM- TAMISEMI haina kipingamizi katika kumpa uhamisho mwalimu kama mwajiri wake (DED) amekubali mwalimu huyo ahame na kule anakotaka kuhamia wamekubali kumpokea. Zaidi ya hapo ni majungu tu

ahsante mkuu, hilo nilikuwa nalijua vyema, ila linachukua muda mno ndomana nataka nijaribu magumashi...
 
Wewe ni vema upigwe kwa kupenda njia za mkato badala ya kufuata utaratibu,alafu ndo nyie mnajifanya kuchukia njia za mkato wakati mnapitia humo,tubadilike kuijenga nchi yenye kufuata misingi ya haki na si kupenda kununua haki.:heh::heh::heh:l
 
Mwambie aende pale wizara ya elimu akaangue kilio kuwa baba na mamake wamefariki kwa ajali hivyo wadogo zake wamebaki peke yao atapangiwa shule mara moja.Lakini atangulize kwanza viroba.
 
Back
Top Bottom