Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
Jamani vp jpili inasemaje?
tuichangamshe siku yetu kwa kujikumbusha yale maneno yanayoandikwa nyuma ya dala dala zetu, vipo vijineno fla fla na mafumbo mbali yanafuraisha yanaandikwa nyuma ya daladala zetu.
*mganga haagizi mchicha.
*hapa stori tu kula kwenu.
*..........
haya ni bahadh tu mengine nikumbusheni nyie wenzagu.
Jumapili njema!.
tuichangamshe siku yetu kwa kujikumbusha yale maneno yanayoandikwa nyuma ya dala dala zetu, vipo vijineno fla fla na mafumbo mbali yanafuraisha yanaandikwa nyuma ya daladala zetu.
*mganga haagizi mchicha.
*hapa stori tu kula kwenu.
*..........
haya ni bahadh tu mengine nikumbusheni nyie wenzagu.
Jumapili njema!.