Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
swali la msingi ni kwanini utawala wa CCM umefanya kuwe na daktari mpasuaji wa watoto mmoja tu.. hii peke yake ni kashfa. Kashfa haiko kwenye yeye kwenda sehemu nyingine Tanzania kwani huko anakokwenda bado atahudumia Watanzania. Miye tatizo langu ni kwanini yupo mmoja...labda tuwaulize madaktari kwanini hawajaingia kwenye eneo hilo kwa wingi..? ( I think I have some ideas...)
what idea?