Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Kuna jamaa alikuwa anaumwa akaenda hospital alipofika hospital,akaenda hadi kwa Daktari .Daktari akamukaribisha aingie ndani jamaa akaingia maongezi yalikuwa kama ifuatavyo Daktari: haujambo? Mgonjwa : hapana! Daktari: unajisikiaje? mgonjwa: kivipi? Daktari: unaumwa? mgonjwa: naumwa na ndiyo maana niko hapa Daktari : unaumwa nini? Mgonjwa : najisikia hamu na hasira nyingi za kupiga mtu kila wakati hata wewe hapa natamani nikupige makwenzi muda huu Daktari : pumbafu toka toka humu nenda nje!