Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Bora Mwl anayemuelimisha mwangu mpaka anamfundisha kufikia Tabibu (Dr)
Hivi MaDr mbona kuwaona tu tunawalipa na rushwa juu hilo Daftari ni 1,000/ hizo bilioni 20 za mwaka mmoja tu wa nyongeza tuitoe wapi tukate hela ya JWTZ ? Au Mtanzania alipe 100,000/ kununua daftari?
Jamani MaDr hela HAKUNA kwa nini msi-sign off tubaki na manesi na maMedical Assist MUNGU atatulinda na Mgomo huu wa kisiasa usio na chembe ya ubinadamu
Dr Uli ugua pole
Hivi MaDr mbona kuwaona tu tunawalipa na rushwa juu hilo Daftari ni 1,000/ hizo bilioni 20 za mwaka mmoja tu wa nyongeza tuitoe wapi tukate hela ya JWTZ ? Au Mtanzania alipe 100,000/ kununua daftari?
Jamani MaDr hela HAKUNA kwa nini msi-sign off tubaki na manesi na maMedical Assist MUNGU atatulinda na Mgomo huu wa kisiasa usio na chembe ya ubinadamu
Dr Uli ugua pole