combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
ni mara kadhaa tumeshuhudia mgomo wa madaktari au kwa ujumla katika sekta ya afya na lengo la mgomo wao ni maslahi madogo lakini hakuna siku hata moja tumeshasikia kwa wabungu wanalalanika au kugoma kuwa maslahi ni madogo mara kadhaa wabunge wamekuwa wanalalamika wanapewa posho nyingi wanataka posho ipunguzwe.je maana hiyo mbunge ni mtu muhimu sana nchi hii kushinda daktari anayeponya maisha ya mwanadamu?tafakari