OPmbona mimi sio injinia wala daktari lakini hao wote hawaniwezi kwa pesa.
NonsenseNnachojua wote wamepitia mikono ya mwalimu
We kilazzzza tuliza mshono
Inategemea na mwajiri.Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia
Hivi huu uzi una uhusiano gani na celebrity forum?!Nauliza tu.Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia