isotaaaa
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,944
- 823
waulize wao si.wap kazini?Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia
waulize wao si.wap kazini?Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia
Duh! Ndugu waniangusha. Utafikaje conclusion kwa kitu kisichopimika? Kwanza hapa wanauliza nani anayelipwa zaidi, sio kipato nje ya mshahara. Hata kama wanauliza kipato cha kila nje ya mshahara, umefikaje kwenye generalisation kama hiyo? Hivi Nikikuuliza Daktari na Wakili yupi analipwa zaidi, utaweza toa jibu sahihi?nilipiga mahesabu ya kufanya kazi nje ya mshahara. huko kwenye kulipwa kwa mshahara nitaje nani analipwa zaidi, mawazo hayo huwa sipo kabisa. nilishahama kwenye ulimwengu huo.
Nyingi ndio inaanzia kiasi gani? Ndogondogo zinaanzia kiasi gani? Engineer wangapi wanalipwa kwa mkupuo? Madaktari wangapi wanalipwa kidogokidogo?ngoja nipite kimya maana hapo kwenye kiraji pagumu...najisikia furaha kuwa engineer
Hahahaa acha nicheke mie,unaleta story za kusadikika kwa hawa madr wanaohaha na kuandamana kila siku.Mi nasubir mgomo wa maengineer siku waje sema maisha magumu na mishahara midogo,nahisi magufuli atafukuza wote haooousiwaze kulipwa mshahara, tunaangalia fursa za kujiajiri ndiko kunakoingiza hela. daktari anaweza kuacha kuajiriwa akaanzisha dispensary ikamwingizia faida ya milioni kumi kila mwezi au zaidi. icho ni kima cha chini. injinia anaweza kupata tenda moja tu kwa miezi sita au kwa mwaka, ikamfuta machozi yote. nasikitika kutosomea udaktari, nilisoma sheria kwa kulazimishwa, na ninaifanya kazi ya sheria pasipokutoka moyoni, pamoja na kwamba katika law firm yangu naweza ingiza hela nyingi sana kwa mwezi kuwapita wote madoctor na mainjinia. kesi moja au tatu tu inanifuta machozi, bado wateja wa kudumu wanaoingiza kwenye account kila mwezi hata kama hakuna kilichofanyika.
Yani kweli wewe ndo mwanasheria na kuandika andika utoto humu,kama umeingia kwenye hizo fani za afya tulia usijipe moyo humu na uongouongo wako wakitoto.Afu unapata wapi uwezo wa kufafanua vitu wakati hujafanya hata research.KASOME AFYA UPEWE NA MEMBERSHIP ID YA MAANDAMANO KUDAI NYONGEZA YA MISHAHARAmkuu hata certified MD anayejielewa hayupo masikini. sema tu kwa hao wawili, kinachowaumiza ni ulevi tu. madoctor na mainjinia wanakunywa sana pombe.
Hilo swala la mshahara mdogo wangu inategemeana anafanya kazi wapi mfano serikali kuu Tabibu analipwa mshahara mkubwa zaidi ya Muhandisi ila Wahandisi wengi hawajiliwi serikali kuu niwachache kwa sababu wengi wanakua katika Mashirika ya Umma kama TPDC TBS TBA TANESCO TANROAD TOBACCO MAMLAKA YA MAJI MAMLAKA YA BANDARI NHC TTCL huku ndo wanalipa vizuri na ndo Wahandisi wengi wanafanya kazi hivyo wanakua na mishahara mikubwa kuliko Matabibu kwa sababu Matabibu wengi wanafanya kazi chini ya serikali kuu ndo maana ukiangalia wakitaja viwango vya ulipaji wananza na Matabibu Wanakuja Wauguzi na Walimu....Wahandisi hua hawawataji sababu kazi zao nyingi ziko mamlaka ukiwakuta serikali kuu sana ni Halimashauli.Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia
unabishana na mwanasheria wakati mwenzio ubishi ni kazi yangu ya kila siku. tutakesha.Yani kweli wewe ndo mwanasheria na kuandika andika utoto humu,kama umeingia kwenye hizo fani za afya tulia usijipe moyo humu na uongouongo wako wakitoto.Afu unapata wapi uwezo wa kufafanua vitu wakati hujafanya hata research.KASOME AFYA UPEWE NA MEMBERSHIP ID YA MAANDAMANO KUDAI NYONGEZA YA MISHAHARA
wangeuliza "who earns better than the other" ungejibuje? ungejibana kwenye mshahara peke yake au na marupurupu na ushenzi mwingine wa mtaani unaoingiza hela? kwa kawaida, kupata pesa ni akili ya mtu tu. kuna wengine mainjinia lakini vichwa vyao havijakaa vizuri wanabaki tu kuitwa injinia jina, ila hajiongezi. tuseme tu hivyo ili kukata mzizi wa ubishi.Duh! Ndugu waniangusha. Utafikaje conclusion kwa kitu kisichopimika? Kwanza hapa wanauliza nani anayelipwa zaidi, sio kipato nje ya mshahara. Hata kama wanauliza kipato cha kila nje ya mshahara, umefikaje kwenye generalisation kama hiyo? Hivi Nikikuuliza Daktari na Wakili yupi analipwa zaidi, utaweza toa jibu sahihi?
Mie nafikiri kulipwa zaidi ni issue ya mtu binafsi...Nan analipwa zaidi kati ya daktari na injinia
Malipo ya huduma za sheria yanatisha . Is there a law governing the amount claimed, awarded and ultimatelyusiwaze kulipwa mshahara, tunaangalia fursa za kujiajiri ndiko kunakoingiza hela. daktari anaweza kuacha kuajiriwa akaanzisha dispensary ikamwingizia faida ya milioni kumi kila mwezi au zaidi. icho ni kima cha chini. injinia anaweza kupata tenda moja tu kwa miezi sita au kwa mwaka, ikamfuta machozi yote. nasikitika kutosomea udaktari, nilisoma sheria kwa kulazimishwa, na ninaifanya kazi ya sheria pasipokutoka moyoni, pamoja na kwamba katika law firm yangu naweza ingiza hela nyingi sana kwa mwezi kuwapita wote madoctor na mainjinia. kesi moja au tatu tu inanifuta machozi, bado wateja wa kudumu wanaoingiza kwenye account kila mwezi hata kama hakuna kilichofanyika.
wangeuliza "who earns better than the other" ungejibuje? ungejibana kwenye mshahara peke yake au na marupurupu na ushenzi mwingine wa mtaani unaoingiza hela? kwa kawaida, kupata pesa ni akili ya mtu tu. kuna wengine mainjinia lakini vichwa vyao havijakaa vizuri wanabaki tu kuitwa injinia jina, ila hajiongezi. tuseme tu hivyo ili kukata mzizi wa ubishi.
mkuu tunaongelea tz, hapa tupo tz hatupo ulaya. wewe unasoma ukafanye kazi ulaya?hahahaSasa hilo litakuwa swali jipya. Na who earns better inategemea na mazingira. Lakini karibu kila sehemu engineer ana mapato less ukilinganisha na daktari (sio kila engineer atakuwa na kampuni ya ujenzi na si kila daktari ana hospitali).
Ukiangalia US, daktari anaongoza kwa kipato, engineer hata hamkaribii. Soma hapa The 30 highest-paying jobs in America
Ukienda UK, utakuwa madalali ndio wana kipato zaidi, hata hivyo daktari anamzidi engineer. Soma hapa What are the UK's highest paid jobs of 2015?
Na ukienda Canada vivyo hivyo, daktari analipwa zaidi.
Kwa hiyo pointi ni kwamba sehemu nyingi waki assess nani analipwa zaidi daktari huwa juu ya engineer, lakini pia huwezi ukafanya generalization kwani mazingira yanatofautiana.
Hiyo ya kuongelea TZ itabidi uianzishie thread yake, mwanzilishi wa hii thread hakuweka mipaka unayoileta sasa. JamiiForums imevuka mipaka. Kuna watu wako SA, UK, US, KQ n.k.mkuu tunaongelea tz, hapa tupo tz hatupo ulaya. wewe unasoma ukafanye kazi ulaya?hahaha