Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Daktari wa Ommy Dimpoz amesema koo la Ommy Dimpoz bado linaendelea kutoa usaha tofauti na ilivyotegemewa. Siku ya leo Ommy Dimpoz alikwenda hospitali kwa ajili ya kutoa mrija aliowekewa lakini baada ya kumchunguza Daktari amekuta bado anatoa usaha hivyo watasubiri mpaka wiki ijayo ili wamtazamie zaidi
Awali ilikuwa kama angetolewa mrija leo basi angeruhusiwa kuondoka South Africa.
Aidha Daktari huyo ameeleza kuwa Ommy Dimpoz alikunywa kinywaji chenye sumu na sumu hiyo inaweza kuwa Alkaline au Acid
Sent using Jamii Forums mobile app
Awali ilikuwa kama angetolewa mrija leo basi angeruhusiwa kuondoka South Africa.
Aidha Daktari huyo ameeleza kuwa Ommy Dimpoz alikunywa kinywaji chenye sumu na sumu hiyo inaweza kuwa Alkaline au Acid
Sent using Jamii Forums mobile app