McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Yaani huyu jamaa bhana hata kujieleza hawezi. Amejikanyaga sana.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana inamshikilia Daktari feki anayejulikana kwa jina moja Mussa aliyetaka kuwatapeli Wagonjwa katika Hospitali hiyo.
Mgonjwa mmoja aligundua kuwa Daktari huyo ni feki ndipo akaamua kuujulisha Uongozi wa Hospital ya Amana na Daktari huyo feki kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi.
Aidha, Daktari huyu Feki aliwahi kukamatwa Mwaka jana August 30, 2023 akitapeli Wagongwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Soma pia: Daktari FEKI akamatwa Muhimbili
Hebu msikilizeni wenyewe hapa
Yaani huyu jamaa bhana hata kujieleza hawezi. Amejikanyaga sana.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana inamshikilia Daktari feki anayejulikana kwa jina moja Mussa aliyetaka kuwatapeli Wagonjwa katika Hospitali hiyo.
Mgonjwa mmoja aligundua kuwa Daktari huyo ni feki ndipo akaamua kuujulisha Uongozi wa Hospital ya Amana na Daktari huyo feki kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi.
Aidha, Daktari huyu Feki aliwahi kukamatwa Mwaka jana August 30, 2023 akitapeli Wagongwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Soma pia: Daktari FEKI akamatwa Muhimbili
Hebu msikilizeni wenyewe hapa