C'mon pple..you apply physics in tappin fluids from the body..electrocardiography..n so many...alafu it's not fair mtu ALIYESOMA an easy combo of subjects..Tuulize sisi tunaojua..au unataka kutibiwa na jitu lisiloelewa linachofanya..unajua mtu akiwa anafanya kitu kwa kuelewa na experience huyo anakuwa very flexible akiona any new changes..tofAuti na jitu la CBG halielewi fluid principles..electricity..waves alafu linakutibu tuu..Kama robot..hawezi kureason vitu kwa kutumia principles za physics za kawaida anang'aa sharubu..kamwekea mgonjwa drip ya maji mgonjwa kachanganyikiwa kichwa kinamuuma hajui nini kinaendelea
mkuu ukisikia medicine ndio udaktari wenyewe,sio kitu tofauti(inaitwa doctor of medicine aka MD)Ndio maana tunaposema mfumo wa elimu yetu usukwe upya kuna watu hawatuelewei. Mtoa mada anawakilisha moja ya waathirika na mfumo wa kukaririshana, yaania anaamini ili usomee medicine ni lazima usome udaktari. Sina uahkika kama ameshayasoma masomo ya medicine kisawasawa, kama ni kweli angegundua kwamba yale aliyofundishwa A'level katika Physics ni machache sana atakayoyahusisha na elimu ya medicine.
Labda pawepo na mwalimu mwendawazimu atakayewaambia hiki sitawafundisha kwa kuwa mmesoma A'Level kwenye physics.
Mtu alyesoma CBG anaweza kusoma MD bila shida yeyote kabisa na sana sana atakachotumia ni biology na chemistry, physics ina sehemu ndogo sana tusidanganye watu. Mara nyingi sana, first year na second watasoma anatomy ambapo biology itamsaidia na physiology ambapo chemistry itamsaidia tena kidogo kwenye 'sterling forces'. Otherwise masomo mengine kama pathology, pharmacology, parasitology etc ni kama anaanza upya. Sana sana physics kwa watu wa Pharmacy ndio wangeihitaji sana kuliko Md, lakini nao wanahitaji chemistry zaidi kuliko physics hasa kwenye pharmakokinetics ambapo kuna mahesabu sana, na hapo msingi wa A'level wa physical chemistry utahitajika. Tatizo ni mfumo tu.
mkuu ukisikia medicine ndio udaktari wenyewe,sio kitu tofauti(inaitwa doctor of medicine aka MD)
NB usitafsiri medicine kwa maana ya madawa.
kama sijakuelewa kwenye bold nieleweshe.
Mimi nakwambia huu utoto uko sekondari wa kutishiana kombi ila unapokuwa unagundua kuwa mawazo hayo hayana mpango.....ila cha kusikitisha ni kuwa wengine hawakuwi....yani kuna watu hapa ni madaktari nao wanachangia pumba.....Madaktari waliosoma CBG wako mpaka muhimbili na wanafanya vizuri tu sijui kwa nini hawalioni hilo.....fuatilia tabia za madaktari wengi....kupiga domo tu....
Dokta Masau alianza kupigwa vita na wazee wa muhimbili katika hatua za mwanzo kabisa....ni hawa wazee wanawaambia wanafunzi wao kuwa wao ni bora kuliko wakenya hata wanaosoma europe......wazee wazima hata haya hawana wamefunga safari mpaka kituo cha habari kuwatangazia watanzania kuwa Dk Masau sio wa kwanza kufanya Open heart Surgery kisa tu Masau alikuwa mwanafunzi wao....Ndio maana wamejazana katika zile kota kama kumbikumbi.....Jitu zima na Phd limekalia ulevi na umbeya....
Mimi nasoma medicine najua vizuri mentality za madaktari......tunapenda kuaminisha watu kuwa medicine ni impossible na ni ma-sub gods tu wanauwezo wa kuifanya......zamani zilikuwa zinaenda div 1 tu medicine ila sasa div 2 mpaka div 3 kwa wanawake zinachukuliwa na wanakuwa madaktari wazuri tu......Bidii kidogo tu inahitajika wala msitishe watu hapa
Tabia kama hizi ndio zimesababisha migomo isiyo na kichwa wala miguu....ati kisa tu wewe ni daktari hutaki mwingine alipwe zaidi yako.....upuuzi.....
thanks for ua execellent explanationsYaani wewe ndio hujanielewa, nimemaanisha udaktari na sio madawa. Madawa ni pharmacy. Hizi ni lugha zinazotumika na wanafunzi (ukisema nitasoma medicine=udaktari).
Kwenye bold, nimemaanisha kila kitu kinachopaswa kifundishwe kwa mwanafunzi wa medicine inatakiwa kifundishwe bila kujali umeshasoma A'Level au vipi. Aliyesoma kwenye Physics itamsaidia kuelewa kwa haraka ila mwisho wa siku wote wataelewa.
Pamoja mkuu! Ni vizuri kueleweshana hasa inapotokea mgongano wa lughathanks for ua execellent explanations
Acha ushamba na ujinga. Vyuo vipi kufundisha madaktari sio kupitisha madaktari. Kama chuo kinafanya kazi ya kufundisha kwa ufasaha hata mtu wa HGL anaweza kusoma udaktari.
Soma kwa bidii ufaulu vizuri kuliko huyo wa cbg. Unaweza kuta mtu analalamika kushindanishwa na mtu wa CBG akidai masomo ya PCB magumu kumbe hata hiyo chemistry na biology kafeli kuliko mtu wa CBG? pambana na shule usilalamike.
kwani wliosoma PCB hawapo ambao ni fake and very weak?Let's expect a wave of very weak and fake doctors in 2years to come..
Acha ushamba na ujinga. Vyuo vipi kufundisha madaktari sio kupitisha madaktari. Kama chuo kinafanya kazi ya kufundisha kwa ufasaha hata mtu wa HGL anaweza kusoma udaktari.