Dakika 45, ITV na Waziri Lukuvi

Dakika 45, ITV na Waziri Lukuvi

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
903
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na uratibu) Wiliam Lukuvi anasema Serikali aiweza kuona raia wake wanapata matatizo, lazima wafanya haraka kuwasaidia wananchi
 
Hahahaaa!
Huyu jamaa arudi kuwa headteacher kule idodi.
 
Huyu kwanza ueleze tuhumu za vyeti vyake feki.

Pia sababu alizotoa kuhusu kijimilikisha msitu wa serikali bado hazitoshi.
Atuambie kama nafasi yake kwenye serikali haikutumika kupata huu msitu
 
Anaponda Chadema kazi nikutafuta mambo ya uongo ili waonekane wakweli
 
Huyu katika maongez yake yote ni sharti amanange CDM. Kaz kwel kwel
 
Anasema Dk Slaa kazi yake porojo, Serikali ya CCM kazi yao kuwaletea wananchi maendeleo, sio maandamano
 
anaponda chadema kazi nikutafuta mambo ya uongo ili waonekane wakweli

yeah tumemsikia akitumia kodi ze2 kujibu shutma huku akijinasibu kwamba watz wataona ni kinanani watakuwanachakuonyesha mwishoni! Cheap politiks! Nani asiyejua kwamba ccm ndiyo yenye govt na ndiyo wanaokusanya kodi ze2. We need accountability& not mere words. Btw, one way communication bore a lot. Wangefanya mdahalo/kuruhusu maswali online
 
Kwani msitu wa sao hill umebinafsishwa?.....kama ndio,basi hapa JF tutaona hati ya kumiliki ya mheshimiwa lukuvi!....kama sivyo,basi itakuwa ni porojo za.......you know the rest!!
 
Waziri Lukuvi kasema kweli CDM kazi yao kutunga uongo na porojo kamwambia Dk Slaa apeleke ushahidi wa makaratasi kama yeye anamiliki kitalu
 
Waziri Lukuvi kasema kweli CDM kazi yao kutunga uongo na porojo kamwambia Dk Slaa apeleke ushahidi wa makaratasi kama yeye anamiliki kitalu

Bi Sophy nawe wakubaliana na Lukuvi?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Anasema Dk Slaa kazi yake porojo, Serikali ya CCM kazi yao kuwaletea wananchi maendeleo, sio maandamano


Ninapata shida sana kuelewa nini hasa maendeleo! Serikali ina tafsiri vipi hili neno maendeleo? ni kuwa na 36% ya wananchi wasiujuwa watapata wapi chakula? ni kuwa na 80% ya wanafunzi wa kidato cha IV waliofeli? au kwa kusambaza umeme kwa wananchi 14% mjini na 2.5% vijijini tena kwa mgao kwenye nchi yenye watu wapatao milioni 40? Au pengine maendeleo ni kuwa na wigo mpana wa kupitisha 'vibakuli' ili watu wasife njaa?

Nijuavyo mimi sera na uratibu kwa context ya Tanzania ni 'policy and governement coordination (or monitoring)'. Kama ndivyo, na kwa heshma zote, Lukuvu ana ujuzi gani kwenye mambo ya sera? Na hii inaonesha ni kwa kiwango gani watawala wetu hawako serious. wanaweka mtu ili mradi- kwani watanzania watafanya nini? tuna dola sisi!!!
 
Waziri Lukuvi kasema kweli CDM kazi yao kutunga uongo na porojo kamwambia Dk Slaa apeleke ushahidi wa makaratasi kama yeye anamiliki kitalu


ritz, inaelekea watanzania wanaukubali uongo wa CDM na kuutata ukweli wa CCM.
 
Huyu jamaa hata kumuona mie huwa sipendi . Watakimbilia sana ITV hawa watu na bado . JAmaa kalonga kamaliza wao sasa wana haha kuzima alicho kisema . Huyu mtu naye ana kashfa kibao za kugushi Elimu yet ni waziri duh .
 
Hana jipya atarudia kwenye mistari ileile waliyokwisha pita akina Wasira na wenzake
 
Bw. Semunyo wa ITV boresha kipindi chako hiki kwa kuita na upande wa pili wa mawaziri kivuli mfano Mbowe, Lissu, Regia na hata Dr. mwenyewe wa ukweli tusikie wana nini cha kuwaambia Wa tz kwa hizo dakika 45...wa Magamba kila siku wanaboa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom