Waziri Lukuvi kasema kweli CDM kazi yao kutunga uongo na porojo kamwambia Dk Slaa apeleke ushahidi wa makaratasi kama yeye anamiliki kitalu
Harafu akipeleka atafanya nini? Atajiuzuru au? Anasema aliomba kwaajili ya shule lkn kibali kimojawapo kinaonyesha aliomba kabla shule haijaungua, mimi namshauri aende mahakamani sababu amesingiziwa ili adai fidia ya kudhalilishwa harafu atajua Dr. Slaa ni nani!