King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
- Thread starter
- #61
last time Jokate alisema Diamond is too low kwake! hilo ni tusi kubwa sana kwa wote.
Ulikua upepo tu ule.
last time Jokate alisema Diamond is too low kwake! hilo ni tusi kubwa sana kwa wote.
Mtoto wa Tandale Chaka kwa bi nyau anawatafuna watoto wa Masaki na Mikocheni..sasa huyo Joketi uwa anajifanya vingereza vingi uzungu kaangukia Tandale, maisha haya.
Maana lile domo sijui anatumia mswaki wa namna gani mpaka asafishe lisitoe harufu. Nusu ya uso wa Diamond ni domo
kwahiyo wewe unataka kutuambia nini? hana mbunye ama?
anakera sana huyu mtoto kwani akinyamaza akala kimyakimya inamgharimu nini
mapenzi hayana macho ndahani...tandale si shamba na goweko mtapaitaje?...kwa taarifa yako watoto wa uswazi ni wajanja kuliko hawa broiler tunaowafuga nje ya mji...Si mchezo...Jokate naye! Kweli ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.
mhh...napita..
Akichezesha taya na mwandishi wetu wa GPL,platnum aka sukari ya warembo alikiri kwamba anatoka kimapenzi na mchuchu huyo(Mamaa wa kidoti),diamond alisema anampenda na hakuna kitu kitachoweza kuwaachanisha!
Source:Gazeti La Ijumaa(GPL)
nani anakudanganya kwamba huyo ni sukari ya warembo maybe chumvi ya makahaba.
Hamna kitu kwa joketi, mimi nilimgonga enzi hizo form iv akiwa mbichi st anthony sec.
..Maana lile domo sijui anatumia mswaki wa namna gani mpaka asafishe lisitoe harufu. Nusu ya uso wa Diamond ni domo