Dah! Wakuu, nahisi nimegongewa

Dah! Wakuu, nahisi nimegongewa

[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee Shame on You yani umechokoza na kuleta mada ambayo haisiani zaidi ya kuonyesha bifu lako na waseminari sijui kama mpaka saivi kuna mgogoro huo maana Mzumbe walikua wana tudiss sana Umenikumbusha mbali kiasi ila uliko gusa hata hakuhusiani ni Wivu wako tu.Bytheway Kwanza nikwambie tu ata iyo Event iliyo nilkutanisha na uyo Dem ilikua ni yenu mlipanga muwe na madem zenu kilay ila waligomaga kabisa kisa hawakua na reason ya maana kuwakata the only thing wanawataka Waseminari Basi sisi ni nani hadi tukatae? tukaenda bwana na hawakutana shule yoyote zaidi yetu sisi tukasema sawa hamna shida tukaenda.

Walichokua wanasema ni Kwamba Nyie ni mlichokua mnaweza ni misuli tu (and i appreciate it) Ila wengi ni Washamba shule yenyewe iko Porini hamkuwa Smart mpo hovyo hovyo tu. Mnanuka wengine walikua hawaogi ata na vile kucheza na nyie walikua hawawezi kabisa hamshawishi. This is true ata nikienda moro huwa nawaona mpaka sasa ivi mpo mpo tu ur not smart at all. wakaita watoto wa mjini sie tukaenda kiroho safi. Mbona alisema hayupo tayari nikasubiri muda ulipo fika tulifanya sema umekurupuka na hisia zako za Wivu mkuu kumbe bado una ule ushamba wako wa Mzumbe tu..[emoji23][emoji23]sasa form 4 nimesubiri alipo maliza 6 nikawekaa [emoji23]

Mind you watoto wa kike hawapendi wanaume wanao nuka na hovyo hovyo
Sasa takribani miaka miwili unasubiri papuchi nawewe ni mjanja kweli??
Jisemee kimoyomoyo, "Hakiyamungu natetema"


Ndo maana nilikimbia maua seminary, sikutaka nije kuwa zuzu kiasi yako chalii
 
Labda kosa ni kama lako tu la kutokukutaarifu kuwa alishiriki kimwili na mtu mwingine mkiwa kwenye kiapo kisicho rasmi. Tofauti na hapo huna hoja ya msingi,mwili ni wake na maamuzi ya bikira yake anayo yeye. Wewe una umaalum gani uonjeshwe wewe,wasionje wengine?Wewe umsaliti,yeye akutunzie? huo ni ubinafsi wa hali ya juu.
Ahahahaa dah noma

One love
 
Mkuu umedhihirisha kuwa ..ulikua mdhaifu kwa huyo demu na hata Mara ya pili mlivokutana still ulionyesha weakness ..ndo ukiendelea hvo atakuburuza sana

One love
 
Ujanja ni Kuendekeza Umalaya bro? Shame on You once again.
Sasa takribani miaka miwili unasubiri papuchi nawewe ni mjanja kweli??
Jisemee kimoyomoyo, "Hakiyamungu natetema"


Ndo maana nilikimbia maua seminary, sikutaka nije kuwa zuzu kiasi yako chalii
Kusubiri nilisubiri and i found her Virgin Right? iyo inatosha kukuthibitishia Nilikua nampenda na Alikua ananipenda Na bado tunapendana That's all.

Usijione mjanja sana Brother kwa kuendekeza Chini U will die for Nothing... Nimesema tu kuwa nimehisi kitu sio kwamba nimesema na nina proof kuwa kanisaliti na Sio watu wote waendekeza chini neither Man or a Woman kama kwako kuendekeza chini ndio ujanja keep it up.
 
Mara ya Pili wapi mkuu? sijakutana nae Mara mbili
Mkuu umedhihirisha kuwa ..ulikua mdhaifu kwa huyo demu na hata Mara ya pili mlivokutana still ulionyesha weakness ..ndo ukiendelea hvo atakuburuza sana

One love
 
Listen young millennial, two things are involved here;

If converations are getting shorter with you, they're getting longer with someone else.

You cannot negotiate desire/intimacy/feelings. Its either there or not, Period!

She has already monkey-branched to another guy. Drop her like a hot potato and move to your next conquest
.
 
Mmh maybe but kwa nini ashikwe na Kigugumizi cha ghafla? baada ya kuzunguzia swala la usaliti?
Ukimchunguza sana bata humli katu. Chukulia nyama ni bata kwisha. Usichunguze huwa anakula nini hutamla. Mchukulie ka mwenzi wako unayempenda. Mabaharia asilia hawachunguzi maisha ya juzi kati kwa aliyempata kwani hata yeye anajua kuwa, Si mkamilifu
 
Mkuu umenena vizuri sana sema kuna kitu kimoja nikikuta ni kweli ndo kinaumiza[emoji23][emoji23][emoji23] sijui kama nitakuta True or False aise
Ukimchunguza sana bata humli katu. Chukulia nyama ni bata kwisha. Usichunguze huwa anakula nini hutamla. Mchukulie ka mwenzi wako unayempenda. Mabaharia asilia hawachunguzi maisha ya juzi kati kwa aliyempata kwani hata yeye anajua kuwa, Si mkamilifu
 
Back
Top Bottom