Rough player
Member
- May 26, 2018
- 39
- 120
natumai wote ni wazima hapa jukwaani
bila kuchelewa naomba niingie kwenye point
hapo nyuma kwenye mwezi wa 10 nilinunua simu aina ya iphone 6plus kwa mshkaji katika process ya mauziano jamaa litoa icloud yake tu ila hakureset simu
sasa baada ya kutumia huku nikiwa nimeshasign in kwa icloud yangu ila tatizo lilikua nilipotaka kutumia baadhi ya app kama facetime ilikua inadai restriction code ambayo mimi siijui na wakati naichukua hiyo simu sikujua kama lingekua tatizo kwa kua jamaa alioshatoa icloud yake
sasa leo nimeona bora niireset ili nisione usumbufu wa kuona baadhi ya formation za mtumiaji aliyepita kama hiyo restriction code
sasa nikakonnect na itunes kama kawaida nikalog out account yangu ya icloud nikarestore simu kilichonikata maini ni kwamba baada ya kumaliza kurestore,,, account ya icloud iliyorud ni tofauti na yangu na sikutegemea irudi ikiwa linked na icloud hali ya kua mimi nilishalog out kwenye account yangu ambayo nilikua nimeilink sasa najiuliza iphone inaweza kua na access ya account 2 za icloud ndani ya simu 1
yani hapa nipo sielewi yani sijui nifanyeje nimemtumia text aliyeniuzia bado nasubiri majibu wakuu nilikua naomba msaada kama kuna njia nyingine ya kusolve hili tatizo
bila kuchelewa naomba niingie kwenye point
hapo nyuma kwenye mwezi wa 10 nilinunua simu aina ya iphone 6plus kwa mshkaji katika process ya mauziano jamaa litoa icloud yake tu ila hakureset simu
sasa baada ya kutumia huku nikiwa nimeshasign in kwa icloud yangu ila tatizo lilikua nilipotaka kutumia baadhi ya app kama facetime ilikua inadai restriction code ambayo mimi siijui na wakati naichukua hiyo simu sikujua kama lingekua tatizo kwa kua jamaa alioshatoa icloud yake
sasa leo nimeona bora niireset ili nisione usumbufu wa kuona baadhi ya formation za mtumiaji aliyepita kama hiyo restriction code
sasa nikakonnect na itunes kama kawaida nikalog out account yangu ya icloud nikarestore simu kilichonikata maini ni kwamba baada ya kumaliza kurestore,,, account ya icloud iliyorud ni tofauti na yangu na sikutegemea irudi ikiwa linked na icloud hali ya kua mimi nilishalog out kwenye account yangu ambayo nilikua nimeilink sasa najiuliza iphone inaweza kua na access ya account 2 za icloud ndani ya simu 1
yani hapa nipo sielewi yani sijui nifanyeje nimemtumia text aliyeniuzia bado nasubiri majibu wakuu nilikua naomba msaada kama kuna njia nyingine ya kusolve hili tatizo